Wema, kupungua mwili sasa basi. Utakuwa mifupa

Wema, kupungua mwili sasa basi. Utakuwa mifupa

Kwani mtoto anakaa kwenye utumbo?
Ukiwa hujawahi kuzaa yakupasa kuepuka cosmetic surgery nyingi ili kutoathiri mazingira ya mahali pa kukaa mtoto kwa sababu organs nyingi zina uhusiano.
Mtoto anapozidi kukua tumboni anasogeza maviungo hayo.Utumbo wenyewe unapaswa kuji adjust...
Maulemavu tu anajitafutia ili aje kulialia mitandaoni.
 
Ukiwa hujawahi kuzaa yakupasa kuepuka cosmetic surgery nyingi ili kutoathiri mazingira ya mahali pa kukaa mtoto kwa sababu organs nyingi zina uhusiano.
Mtoto anapozidi kukua tumboni anasogeza maviungo hayo.Utumbo wenyewe unapaswa kuji adjust...
Maulemavu tu anajitafutia ili aje kulialia mitandaoni.
[emoji106]
 
Mimi sio team wema lakini nimepanda alivyokuwa kimbaumbau yaani kanavutia sio siri abaki hapohapo
 
Hii mutu ilikua inamiliki pango enzi ile, sasa imekua kimbaumbau pango imeachwa bila ulinzi ya kutosha.

(nipo njiani kuelekea kismayo)
 
Mmmmmmmhmn this is what happens when you stop focusing on life and become the headline of every news during your youth hood, once the new eye pleaser comes on stage u are done with regret.

Nawaza nini kingetokea kama wema angekuwa aliamua kusettle tokea kipindi ana miaka 24 au 25 akaolewa kipindi kile, akawa na biashara zake decent, akawa na watoto wake wawili au watatu..... Hivi kipindi kama hiki angekuwa wapi?!
 
Mmmmmmmhmn this is what happens when you stop focusing on life and become the headline of every news during your youth hood, once the new eye pleaser comes on stage u are done with regret.

Nawaza nini kingetokea kama wema angekuwa aliamua kusettle tokea kipindi ana miaka 24 au 25 akaolewa kipindi kile, akawa na biashara zake decent, akawa na watoto wake wawili au watatu..... Hivi kipindi kama hiki angekuwa wapi?!
Mbali sana!Ndo hivyo tena!Umalaya ni inborn character! Amezaliwa anapenda dudu!
 
Habarini...

Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.

Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...

Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.

Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.


Ni hayo tuu...
Anakaribia kufa....!
 
Nasikia hapati mimba aje kwangu nimpatie vimapacha viwili bila shaka vitamtosha
 
Nadhani ATCL watamfikiria maana Dr Mwakyembe aliwaomba ikiwezekana washiriki wa umiss waangaliwe kwenye uhudumu wa ndege.(Air hostess)

Magu anawaita,"Air hostage".
 
Huyu binti ni mfano halisi wa kutumika kuwafundisha dada zetu na watoto wetu wakike kutojivunia wala kuridhika na uzuri, girls are born with an expiry date, huyo ndo tayari jua limeshazama. History! Mitoto ya kike siku hizi ikishazaliwa na uzuri madreva bodaboda wakaanza kusifia na kuhonga vijero jero wazazi tunaonekana makima tu, watoto hawasikii cha shule wala ushauri wowote. Ndo hao wanakutana na wenye pesa zao wanahonga ila beyond 30s makunyanzi yakianza inabaki story. Kila mmoja na avune kile alichokipanda.
 
Hii ni too much
IMG-20190725-WA0030.jpeg
 
Back
Top Bottom