Ukiwa hujawahi kuzaa yakupasa kuepuka cosmetic surgery nyingi ili kutoathiri mazingira ya mahali pa kukaa mtoto kwa sababu organs nyingi zina uhusiano.Kwani mtoto anakaa kwenye utumbo?
[emoji106]Ukiwa hujawahi kuzaa yakupasa kuepuka cosmetic surgery nyingi ili kutoathiri mazingira ya mahali pa kukaa mtoto kwa sababu organs nyingi zina uhusiano.
Mtoto anapozidi kukua tumboni anasogeza maviungo hayo.Utumbo wenyewe unapaswa kuji adjust...
Maulemavu tu anajitafutia ili aje kulialia mitandaoni.
Uzi wako kuna kitu kinamis
Mbali sana!Ndo hivyo tena!Umalaya ni inborn character! Amezaliwa anapenda dudu!Mmmmmmmhmn this is what happens when you stop focusing on life and become the headline of every news during your youth hood, once the new eye pleaser comes on stage u are done with regret.
Nawaza nini kingetokea kama wema angekuwa aliamua kusettle tokea kipindi ana miaka 24 au 25 akaolewa kipindi kile, akawa na biashara zake decent, akawa na watoto wake wawili au watatu..... Hivi kipindi kama hiki angekuwa wapi?!
Anakaribia kufa....!Habarini...
Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.
Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...
Hapo awali tetesi zilisema kuwa murembo aliamua kwenda kukata utumbo ili apungue na kuwa mwembamba.
Kwa sasa muonekano wa Wema umekuwa mbaya kwani amedhoofu.
Ni hayo tuu...
☝️ Acha uchawi mkuuAnakaribia kufa....!
Sawa[emoji3516] Acha uchawi mkuu
Hata mimi naona kapendeza sana...Mbona kapendeza