Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kausha damu mna matatizo sana.Kwahiyo hiyo nyumba hapo ndio ghorofa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kausha damu mna matatizo sana.Kwahiyo hiyo nyumba hapo ndio ghorofa?
3D haviko hivi, hii ni genuine picture, simaanishi ni ya Wema.Hio ni ramani ya 3D printed toka kwa wachora ramani
Atoe wapi3D haviko hivi, hii ni genuine picture, simaanishi ni ya Wema.
Wema ana mjengo wa million 400 Kijitonyama kitambo tu.
Kinacholipa siyo K, ni JuJu.Ng'ombe za kuwajengea hii mijengo watoe wapi?
Hata kama k inalipa
Wakati wa JK haukuwepo mjini wewe, kulikuwa na kolo lake liko Ikulu ni ATM kabisa.Atoe wapi
Sema TANZANIA TUNAISHI Maisha ya kuingiza sana hii yote sababu ya wanasiasa hawanyooki.
Si alisema alizijutia hata hakujenga,kolo lilinunua used kwa Kodi zetu.Wakati wa JK haukuwepo mjini wewe, kulikuwa na kolo lake liko Ikulu ni ATM kabisa.
Uzinduzi valentine's Day. You are Invited!mbona iyo nyumba kama ya siku nyingi
Nyie wanawake mna kazi sana. Ndo maana mnaliwa mnaachwa tu kizembe. Huo muda wa kujadili maisha ya mtu si ungetafuta wazo la kazi ya maana zaidi ya kuuza nyota au kipochi manyoya?
Thubutu!3D haviko hivi, hii ni genuine picture, simaanishi ni ya Wema.
Wema ana mjengo wa million 400 Kijitonyama kitambo tu.
Hawa wasanii washaona ni fashioni kuonesha mijengo yao!