GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nasikia limezidi Ghorofa la Mwijaku la Kigamboni kwa Shilingi Bilioni 3 fulani hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia limezidi Ghorofa la Mwijaku la Kigamboni kwa Shilingi Bilioni 3 fulani hivi.
HahahahahaHuko kwenu Buza mnaliitaje?
Nawavulia kofia wabongoHiyo nyumba pichani akili yangu imeirekodi kama nyumba ya Killy Janga a.k.a Mama Sunshire rafiki yake Mange.
Labda kama zinafanana, ila naona kama mtoa mada anafanya dhihaka.
Akipuliza ile ya Arusha au Morogoro!Kama namuona Whozu pale chini ya mti akiwa amevaa msuli
Bibie amechunda wakati wake ulishapitaHivi sasa hivi ana hata Mia mbovu kweli?
Mbona masela bado wanaruka kwa laki 5 tuBibie amechunda wakati wake ulishapita
Laki tano atoke wapiMbona masela bado wanaruka kwa laki 5 tu
Lilizinduliwa?
🙃Umbea🏃
Baada ya kuangalia id ndo nakuona wewe
Sasa hapo mimi na wewe umbea anao naniBaada ya kuangalia id ndo nakuona wewe
WeweSasa hapo mimi na wewe umbea anao nani