Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Kama namuona yule mchaga akijilia kitumbua pale balcony
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu hii Cc imebadirika? Kuna mapinduzi au divorce?
www.instagram.com
🤣🤣🤣Babu hii Cc imebadirika? Kuna mapinduzi au divorce?
Ukiwa serious Bongo utakufaa mapema.
Ha ha ha Chawa kwake Ni kitu kidogo Sana hicho.Ukiwa serious Bongo utakufaa mapema.
Wacha hivihivi watuone manyani, subiri Ile ya Mwijaku siku utakayogunduwa ni apartment za mtu wanamfanyia promo ndio utachoka kabisa.
Ghorofa anyeee??? Angekua anakaa mbagala kweli?
Aiseee umefanyaje?umesearch vp hyo picha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ni nyumba. Kwetu huku hizi ndio ghorofa.View attachment 2863849
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama Wema atatoa speech?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu acheni kuchekesha hapa.3D haviko hivi, hii ni genuine picture, simaanishi ni ya Wema.
Wema ana mjengo wa million 400 Kijitonyama kitambo tu.
Wee tutolee uongo wako hapaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati wa JK haukuwepo mjini wewe, kulikuwa na kolo lake liko Ikulu ni ATM kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na manunu atakua na ka room kake
Sasa nani hajui kuwa ile ni nyumba ya boss anataka wapangaji apate maokotooo.Ukiwa serious Bongo utakufaa mapema.
Wacha hivihivi watuone manyani, subiri Ile ya Mwijaku siku utakayogunduwa ni apartment za mtu wanamfanyia promo ndio utachoka kabisa.
Isije kuwa muendelezo wa movie zao....
OkIsije kuwa muendelezo wa movie zao....
Anacheza na ManunuKama namuona Whozu pale chini ya mti akiwa amevaa msuli