binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Enhe enhe enhee.. Naipenda Jeiefu.Wewe ni wengi mno wengine huwezi kuwafukiria lakini Diamond ni mstaarabu hawataji hadharani. Kwa kifupi tu yule CEO wa Voda enzi zile yumo hata dada wa taifa pia ndani.
Na wanacheza kila ngoma anayoipiga!Mondi knows how to play with people's minds....
sasa wema nimtu wakumtolea mfano kweli mbele ya watu wanaojielewa my foot ..any way Dada yngu ..baadaeMkuu napambana na hali yangu nilipo huku nikifurahia strong woman akipambana na mahusiano yake.
Huwez mpangia mtu aina ya mahusiano uyatakayo,mfano wema alisikiliza maneno ya watu na team yake akamtema dai na kashfa juu saiv kiko wapi!!? Si huyo anajilengesha hapo
Tunda na hamisa wamejengewa nyumba,wametambulishwa hadharan kuwa wapo kwenye mahusiano rasmi?kila jamii ina mwizi ujue so tunda,hamisa na wenzao wanaojilengesha kwa dai ni wezi tu na haikwepeki.
Si tetei ujinga wala sina mamlaka ya kumshika noniino zari au dai kusema nizifungie wasizigawe gawe hovyo. Yale ni maisha yao waliyoamua wenyewe.
Marahabaa hearl hahahaaa
waoow thanks shem langu.Hata kiss ukitaka shem ntakupa
sasa wema nimtu wakumtolea mfano kweli mbele ya watu wanaojielewa my foot ..any way Dada yngu ..baadae
ngoja niwajibike kidogo na majukumu yakulainisha vyuma
Hatari sanaWema ana mimba ya Diamond, bi Tukinao ameshasema yeye kuzaa basi.
Hamisa na Wema haziivi kabisa sasa hivi.
My take wote wawe na afya njema lakini katika hii chain kama kuna mwenye HIV, mbona mjini patakuwa padogo.
Jidanganye ivyo ivyo ngoja cku upate ndo utajua kama hupo au haupo.Hii chain ni ndefu na kina sisi utakuta tushakumbana nayo mahali. Ila Dar hamna ukimwi la sivyoo tungetafutana mjini.
refer comment ynguHata mie nimekushangaa eti hamisa na tunda ni wa kutolea mfano watu wa kumkimbiza zari toka kwa dai
refer comment yngu
nimewa zungumzia kama watu wasiojitambua ..wajua kusalitiwa kuna uma ..but huwa kuna uma zaidi kama mpnzi wako anapoamua kukumix na watu ambao hawapo ktk class yko (low class)
yaani anaweza hata kukuletea gono..kwahilo tu ilitosha bi Dada wawatu kujiongeza ..ijapo kuwa umeshasema kuwa nimaisha yke aliyoyachagua..nisingepnda kumzu ngumzia zaidi kutokana na mujibu wa ile kauli yko
hahaaa usikute alishapewaga mkuu..sema inabaki kuwa siri ya mtungiHapo ndo anapokosea Zari. Hatujui kinachomuweka ila anatakiwa kutoka akipewa gono ndo atajua mwanaume wake malaya kiasi gani.
Rais wako mwenyewe anacheza mziki wa Mange, baada ya kuambiwa haendi kwenye misiba jana amekwenda msiba wa jaji
unanifurahisha mama!!Tako analo zuri sema hana hips ndo maana anaonekana ana mabonde. Umbo lake wengi tu mnalitamani ila ndo vileeee
Umeshaijua mitaa mkuu?Ngoja nicheki kule afu nirudi hapa