Wema na Diamond ndio habari ya mjini leo

Wema na Diamond ndio habari ya mjini leo

Mkuu napambana na hali yangu nilipo huku nikifurahia strong woman akipambana na mahusiano yake.

Huwez mpangia mtu aina ya mahusiano uyatakayo,mfano wema alisikiliza maneno ya watu na team yake akamtema dai na kashfa juu saiv kiko wapi!!? Si huyo anajilengesha hapo

Tunda na hamisa wamejengewa nyumba,wametambulishwa hadharan kuwa wapo kwenye mahusiano rasmi?kila jamii ina mwizi ujue so tunda,hamisa na wenzao wanaojilengesha kwa dai ni wezi tu na haikwepeki.

Si tetei ujinga wala sina mamlaka ya kumshika noniino zari au dai kusema nizifungie wasizigawe gawe hovyo. Yale ni maisha yao waliyoamua wenyewe.

Marahabaa hearl hahahaaa
sasa wema nimtu wakumtolea mfano kweli mbele ya watu wanaojielewa my foot ..any way Dada yngu ..baadae
ngoja niwajibike kidogo na majukumu yakulainisha vyuma
 
Hata mie nimekushangaa eti hamisa na tunda ni wa kutolea mfano watu wa kumkimbiza zari toka kwa dai
sasa wema nimtu wakumtolea mfano kweli mbele ya watu wanaojielewa my foot ..any way Dada yngu ..baadae
ngoja niwajibike kidogo na majukumu yakulainisha vyuma
 
Hata mie nimekushangaa eti hamisa na tunda ni wa kutolea mfano watu wa kumkimbiza zari toka kwa dai
refer comment yngu
nimewa zungumzia kama watu wasiojitambua ..wajua kusalitiwa kuna uma ..but huwa kuna uma zaidi kama mpnzi wako anapoamua kukumix na watu ambao hawapo ktk class yko (low class)
yaani anaweza hata kukuletea gono..kwahilo tu ilitosha bi Dada wawatu kujiongeza ..ijapo kuwa umeshasema kuwa nimaisha yke aliyoyachagua..nisingepnda kumzu ngumzia zaidi kutokana na mujibu wa ile kauli yko
 
Poa ila jua zile sehemu za utamu hazina class ndo maana unaweza kuta baba mwenye nyumba anatoka na house girl mshamba mshamba mchafu mchafu.
refer comment yngu
nimewa zungumzia kama watu wasiojitambua ..wajua kusalitiwa kuna uma ..but huwa kuna uma zaidi kama mpnzi wako anapoamua kukumix na watu ambao hawapo ktk class yko (low class)
yaani anaweza hata kukuletea gono..kwahilo tu ilitosha bi Dada wawatu kujiongeza ..ijapo kuwa umeshasema kuwa nimaisha yke aliyoyachagua..nisingepnda kumzu ngumzia zaidi kutokana na mujibu wa ile kauli yko
 
Hapo ndo anapokosea Zari. Hatujui kinachomuweka ila anatakiwa kutoka akipewa gono ndo atajua mwanaume wake malaya kiasi gani.
hahaaa usikute alishapewaga mkuu..sema inabaki kuwa siri ya mtungi
 
Kiki tupu!
Diamond yupo tayari kufanya chochote jina lake lizungumzwe
Hiyo ni move ya kusudi kabisa imepangwa na kina Jorge Mendez,wema hawezi kukataa mualiko wa WCB,
Zari nae ni mfanya biashara wanagawana mauzo tu kwa ratio waliokubaliana,washabiki endeleeni kutokwa mishipa ya shingo
 
Back
Top Bottom