Mkuu napambana na hali yangu nilipo huku nikifurahia strong woman akipambana na mahusiano yake.
Huwez mpangia mtu aina ya mahusiano uyatakayo,mfano wema alisikiliza maneno ya watu na team yake akamtema dai na kashfa juu saiv kiko wapi!!? Si huyo anajilengesha hapo
Tunda na hamisa wamejengewa nyumba,wametambulishwa hadharan kuwa wapo kwenye mahusiano rasmi?kila jamii ina mwizi ujue so tunda,hamisa na wenzao wanaojilengesha kwa dai ni wezi tu na haikwepeki.
Si tetei ujinga wala sina mamlaka ya kumshika noniino zari au dai kusema nizifungie wasizigawe gawe hovyo. Yale ni maisha yao waliyoamua wenyewe.
Marahabaa hearl hahahaaa