kama watu wanapata pesa basi ni shangwe. This is what we call public figure.Kiki tupu!
Diamond yupo tayari kufanya chochote jina lake lizungumzwe
Hiyo ni move ya kusudi kabisa imepangwa na kina Jorge Mendez,wema hawezi kukataa mualiko wa WCB,
Zari nae ni mfanya biashara wanagawana mauzo tu kwa ratio waliokubaliana,washabiki endeleeni kutokwa mishipa ya shingo
Naomba tukubaliane, kila mwanaume ni mlaji na gavana huwa ni nyie akinamama. Usione humu watu wanajibaraguza tu ukimletea K katika sahani siamini kuna mwanaume yeyote wa JF including me ataiacha au nadanganya Mzigua90 wangu! Hivyo sioni ajabu kwa Diamond wanawake wanaompelekea katika sahani aziache ati kwa vile Zari yupo Sauz. Usisahau wakati ule Dai alikuwa na usongo na maK ya wengi na hapa anajivinjari tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaaa.. huyu bwana ndo mbabe wa wababe. Hadi baba na ubabe wake wote kashindwa kuchomoa hapo. Mamaa wa gemstone ndo strong woman Tanzania.
Hahahaha[emoji23]Angalia usije kusikia gaude ni mtoto wa jirani wewe ni baba mlezi
Ati alisemeje?Huyo mond alishakiri kumwacha wema kwa hitaji ujasiri
Mjini patakuwa pakubwa Sky maana wao wakipata hiyo HIV si watakuwa wamepotea duniani.Ila jamani tukubaliane hali na akili za vijana mimi sihazielewa kabisaaa dunia yenye maradhi kama HIV wanajiachia hivyo jamani!mwaume unajua kabisa skirt haikazi mbele yake unamwamini?Hivi wakipata maradhi watasikitika kweli??Yaani unamwamini kila mtu kingono?Wema ana mimba ya Diamond, bi Tukinao ameshasema yeye kuzaa basi.
Hamisa na Wema haziivi kabisa sasa hivi.
My take wote wawe na afya njema lakini katika hii chain kama kuna mwenye HIV, mbona mjini patakuwa padogo.
MVUTA BANGE FULANI NA ANAKESI INANGURUMA JAPO BASHITE ANAJUA JINSI YA KUIMALIZAWema ndio Nani uyo
Duuuh miaka 50 mnamsingizia dada wa watuTimu zari watawehuka nakuambia,ila zari ana moyo mpana kama pazia,avumilie tu miaka 50 ataenda wapi atabanana hapo hapo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Timu zari watawehuka nakuambia,ila zari ana moyo mpana kama pazia,avumilie tu miaka 50 ataenda wapi atabanana hapo hapo
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3]Hakuna bikira ambae hajawahi hata kushikwa chuchu, hivyo akiamua kumrejea mshika chuchu zake wa kwanza atamrejea tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji125]Na kikubwa kijana maeneo ya chini mashallah. Anadata na mengi Zarina.
Nenda insta mtafute kwa hilo jina..ana siri zote za zaituni kiligwaijo na fact juu!Simjui shoga. Ndio nani??
Ndo alikuhadithia kuhusu Domo?Yaan kuna rafiki kidogo achizike nae ni mweupe ana kishundu
NimeshajibuuTuambie ni nanii