GTA
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 878
- 651
kama watu wanapata pesa basi ni shangwe. This is what we call public figure.Kiki tupu!
Diamond yupo tayari kufanya chochote jina lake lizungumzwe
Hiyo ni move ya kusudi kabisa imepangwa na kina Jorge Mendez,wema hawezi kukataa mualiko wa WCB,
Zari nae ni mfanya biashara wanagawana mauzo tu kwa ratio waliokubaliana,washabiki endeleeni kutokwa mishipa ya shingo