Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Aaliyyah

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2022
Posts
19,041
Reaction score
46,239
Mko salama nimepata wasaa mzuri Sana wa kuandika kisa hiki nimekaa nacho miaka mingi
Mnisamehe sio mwandishi mzuri

Nimesoma shule flani ya kata huko kijijini kwetu nakumbuka tulikuwa na mkuu wa shule mkali kweli kweli alikuwa Hana utani hata kidogo linapokuja suala la nidhamu na mambo yahusuyo shule

Ni yule Mwalimu ukimuona anakuja unaacha unachofanya unatulia kumsikiliza alikuwa mahir sana pia wa Somo la kiingereza
Wakat tunasoma sheria zilikuwa Kali sana na watu walikuwa wanakatishwa masomo ikibainika Kuna utovu wa nidhamu

Tukiwa tumebakisha wiki 5 kufanya mitihani yetu ya kumaliza kidato Cha nne nakumbuka kulikuwa na mazoezi yanaendelea Kwa ajili ya sherehe ya mahafali ambayo ilipangwa kufanyika wiki mbili kabla ya mitihani
Masomo yalikuwa yanaendelea pia kama kawaida
Siku moja tukiwa darasani asubuhi nikaja kuitwa kuwa nahitajika na mkuu wa shule ofisini kwake

Kwanza darasa Lilikuwa kimya kilamtu anashangaa nn kimenipata nikaingie ofisi Ile ambayo inaogopwa nikaanza kutetemeka nikaanza kujiset Vaa vizuri nikachomekea nikafuta viatu na makaratasi
Darasa lipo kimya muda huo nasikika mm navosogeza meza nipite nikaitike wito 😂😂😂nikaanza kuelekea ofisini hapo mapigo ya moyo yakiwa yamebadilika uoga mwingi pia nilikuwa ni mtu sijui kujieleza mawazo yalikuwa nimefanya Kosa gani niitwe ghafla hivi
Inaendelea
 
Mko salama nimepata wasaa mzuri Sana wa kuandika kisa hiki nimekaa nacho miaka mingi
Mnisamehe sio mwandishi mzuri

Nimesoma shule flani ya kata huko kijijini kwetu nakumbuka tulikuwa na mkuu wa shule mkali kweli kweli alikuwa Hana utani hata kidogo linapokuja suala la nidhamu na mambo yahusuyo shule

Ni yule Mwalimu ukimuona anakuja unaacha unachofanya unatulia kumsikiliza alikuwa mahir sana pia wa Somo la kiingereza
Wakat tunasoma sheria zilikuwa Kali sana na watu walikuwa wanakatishwa masomo ikibainika Kuna utovu wa nidhamu

Tukiwa tumebakisha wiki 5 kufanya mitihani yetu ya kumaliza kidato Cha nne nakumbuka kulikuwa na mazoezi yanaendelea Kwa ajili ya sherehe ya mahafali ambayo ilipangwa kufanyika wiki mbili kabla ya mitihani
Masomo yalikuwa yanaendelea pia kama kawaida
Siku moja tukiwa darasani asubuhi nikaja kuitwa kuwa nahitajika na mkuu wa shule ofisini kwake

Kwanza darasa Lilikuwa kimya kilamtu anashangaa nn kimenipata nikaingie ofisi Ile ambayo inaogopwa nikaanza kutetemeka nikaanza kujiset Vaa vizuri nikachomekea nikafuta viatu na makaratasi
Darasa lipo kimya muda huo nasikika mm navosogeza meza nipite nikaitike wito 😂😂😂nikaanza kuelekea ofisini hapo mapigo ya moyo yakiwa yamebadilika uoga mwingi pia nilikuwa ni mtu sijui kujieleza mawazo yalikuwa nimefanya Kosa gani niitwe ghafla hivi
Inaendelea
kabla sijaanza kusoma hadithi, naangalia mwisho, nikiona neno itaendelea... inakuwa ndo mwisho wa kusoma hiyo hadithi
 
OFISINI KWA MKUU WA SHULE
Nikafika mlangoni nikasimama kwanza najifikiria Kam sekunde 30 nikagonga nikaruhusiwa nikamkuta akiwa pekeyake

Nikamsalimia nikiwa nimesimama Ile proper wanaita nafikiri 😀
Akaniruhusu kukaa nikavuta kiti nikakaa
Lakini surayake Ilikuwa haipo kwenye ule ukali tunaofahamu hapo presha yangu Bado Iko juu

Mkuu:habari za masomo
Mimi:safi
Mkuu:maandaliz ya mitihani nayo vipi
Mimi:yanaenda vizuri
Mkuu:unajua kwanini nimekuita hapa
Mimi:hapana sijui

Akashusha pumzi
Mkuu:Mimi ni Mwalimu lakini ni mzazi nimekuita hapa kam mzazi Kuna kitu Cha Siri tuongee na sitaki kukisikia popote nimekuamini kati ya wenzio wote darasani
Ni hivi mmebakisha wiki 4 kufanya mitihani yenu lakini Kuna msichana darasani kwenu ni mjamzito akataja jina tumpe jina hadija nimepata hizo habari mtaani huko na sheria za shule zinaelewwka ikithibitika anatakiwa afukuzwe staff hazijafika ila naona Kuna dalili baadhi ya walimu wamesikia muda wowote hali itabadilika
 
OFISINI KWA MKUU WA SHULE
Nikafika mlangoni nikasimama kwanza najifikiria Kam sekunde 30 nikagonga nikaruhusiwa nikamkuta akiwa pekeyake

Nikamsalimia nikiwa nimesimama Ile proper wanaita nafikiri 😀
Akaniruhusu kukaa nikavuta kiti nikakaa
Lakini surayake Ilikuwa haipo kwenye ule ukali tunaofahamu hapo presha yangu Bado Iko juu

Mkuu:habari za masomo
Mimi:safi
Mkuu:maandaliz ya mitihani nayo vipi
Mimi:yanaenda vizuri
Mkuu:unajua kwanini nimekuita hapa
Mimi:hapana sijui

Akashusha pumzi
Mkuu:Mimi ni Mwalimu lakini ni mzazi nimekuita hapa kam mzazi Kuna kitu Cha Siri tuongee na sitaki kukisikia popote nimekuamini kati ya wenzio wote darasani
Ni hivi mmebakisha wiki 4 kufanya mitihani yenu lakini Kuna msichana darasani kwenu ni mjamzito akataja jina tumpe jina hadija nimepata hizo habari mtaani huko na sheria za shule zinaelewwka ikithibitika anatakiwa afukuzwe staff hazijafika ila naona Kuna dalili baadhi ya walimu wamesikia muda wowote hali itabadilika
Shusha vitu mkuu
 
OFISINI KWA MKUU WA SHULE
Nikafika mlangoni nikasimama kwanza najifikiria Kam sekunde 30 nikagonga nikaruhusiwa nikamkuta akiwa pekeyake

Nikamsalimia nikiwa nimesimama Ile proper wanaita nafikiri 😀
Akaniruhusu kukaa nikavuta kiti nikakaa
Lakini surayake Ilikuwa haipo kwenye ule ukali tunaofahamu hapo presha yangu Bado Iko juu

Mkuu:habari za masomo
Mimi:safi
Mkuu:maandaliz ya mitihani nayo vipi
Mimi:yanaenda vizuri
Mkuu:unajua kwanini nimekuita hapa
Mimi:hapana sijui

Akashusha pumzi
Mkuu:Mimi ni Mwalimu lakini ni mzazi nimekuita hapa kam mzazi Kuna kitu Cha Siri tuongee na sitaki kukisikia popote nimekuamini kati ya wenzio wote darasani
Ni hivi mmebakisha wiki 4 kufanya mitihani yenu lakini Kuna msichana darasani kwenu ni mjamzito akataja jina tumpe jina hadija nimepata hizo habari mtaani huko na sheria za shule zinaelewwka ikithibitika anatakiwa afukuzwe staff hazijafika ila naona Kuna dalili baadhi ya walimu wamesikia muda wowote hali itabadilika
Sawa...ukiendelea uni-tag.
Nijue hiyo mimba alikupa nani?
 
Inaendelea

Muda huo mapigo ya moyo yameongezeka maradufu

Mkuu akaendelea
Mkuu;Sasa nakutuma nenda Kwa hadija kmuulize kama ni kweli na akwmabie nani mwenye hiyo mimba nenda
Sheria ziko wazi mwanaume kifungo msichana shule ndio basi ila roho inaniuma ni wiki 4 zimabaki sijui itakuje ila fanya nilichokuagiza
Mimi:sawa Ile kinyonge huku vimachozi Kwa mbali

Darasa linaaubiri mrejesho kama unavojua wanafunzi 😀nikaona nipitilize chooni nikahaikishe uso uko sawa ndipo niingie

Kuhus hadija
Tunaishi mtaa mmoja pia tuko nae kwenye group la discussion ni mtu wa karibu wazazi wake wanaishi kijiji jirani yeye anaishi na dadayake ambae anaishi karibu na shule tunayosoma ni mpole msiri na tulikuwa hatujui hata boyfriend wake ni nani Zaid Kuna mwanafunz mwenzetu ilisemakna ni mpenz wake ila hadija alikana licha ya kuwa nae karibu na kwenye discussion tuko pamoja

Niliumia sana ikabidi niwadanganye kuwa niliitwa Kuna vitu havikuwa sawa mwenye usajili wa mitihani ila nilikuwa n rafikiyangu kipenzi akawa anahisi siko sawa mudawote nawaza lakini sikumwambia nn shida

Kila hadija akinisemesha nahis nachoka namwambiaje kwao ndio bint wa kwanza kufika 4m 4 mamaake anahangaika mno analima sio poa anamuhudumia mwanae nikapiga moyo konde nikamuita
Jioni tukiwa tumesharudi shule
 
Back
Top Bottom