Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Kama majira ya saa 9 wakawa wamerudi kutoka shamba tukawasilimia walishangaa hatukuwa shule tuakadanganya hakuna ishu ni siku ya Michezo tukatoroka mara moja
Sasa kivumbi naanzaje tukawa tumekaa nje kwenye mkeka na watu waliotoka shamba
Mara mama akainuka kuingia akasema anataka akaoge daddake akasema tuondoke nae turudi wote maana anaishi huku kwenye Kijiji tunachosoma nae ikiwa na baiskeli yake kilanikitaka kuinuka kumfata roho inasita nikapiga moyo konde
Akaingia ndani namchungulia kabl hajaingia chumbani nikamfuata


Mimi:mama samahani Nina shida kunakitu nataka tuongee akasimama
Mama hadija;sawa
Mimi;na dada nae
Mamahadija; Kuna nn jamni hay mama sule njoo(sule nampa dadayake alikuwa na watoto wawili)nikawaomba tukae
Kulikuwa na mkeka pale

Mimi;Kuna taarifa nataka kuwapa kuhus hadija lakini pia ni kutoka Kwa mkuu wa shule kuwa hadija ni mjamzito hivo
Kabla sijaendelea mama chozi likamtoka dada mtu akashika Tama
Dada yake hatukata maelezo akaita kwa sauti hadija akaitika akaja alikula kibao kimoja kitakatifu kutoka Kwa dadayake huku analalamika
Mamasule;humuonei huruma mama wew na uzee huu aibu gani hii ona tunahangaika tunatoka shamba mda huu tukusaidie unashida gani ww nimewahi kukunyima chakula?hadija,ulowahi kuomba sabuni ya kufulia nikakunyima,"hadija yupo kimya amekaa analia japo sio Kwa sauti sana
Huku mama anatetemeka Kwa hasira na uchungu Mimi nimepigwa na butwaa machozi yanatoka namuonea huruma hadija nawaonea huruma wazazi wake
 
Iko hivi,unaweza andika katika notes za simu yako,kidogo kidogo halafu ikifikia level flan una copy na paste,,,hii itaendelea ina boa sana waandishi hawajui tu,tena ikiwa fùpi kama hii
Huyu kajikaza kuna wanaoboa acha mkuu, kwanza huyu yupo humu sana tu sasa kuna zile ID mpya halafu anakuja na heading tamu kimbilia mwishoni kwenye post ukikuta itaendelea, achana nayo usisome hiyo hadithi haiishi na ni uongo mwingi
 
Kama majira ya saa 9 wakawa wamerudi kutoka shamba tukawasilimia walishangaa hatukuwa shule tuakadanganya hakuna ishu ni siku ya Michezo tukatoroka mara moja
Sasa kivumbi naanzaje tukawa tumekaa nje kwenye mkeka na watu waliotoka shamba
Mara mama akainuka kuingia akasema anataka akaoge daddake akasema tuondoke nae turudi wote maana anaishi huku kwenye Kijiji tunachosoma nae ikiwa na baiskeli yake kilanikitaka kuinuka kumfata roho inasita nikapiga moyo konde
Akaingia ndani namchungulia kabl hajaingia chumbani nikamfuata


Mimi:mama samahani Nina shida kunakitu nataka tuongee akasimama
Mama hadija;sawa
Mimi;na dada nae
Mamahadija; Kuna nn jamni hay mama sule njoo(sule nampa dadayake alikuwa na watoto wawili)nikawaomba tukae
Kulikuwa na mkeka pale

Mimi;Kuna taarifa nataka kuwapa kuhus hadija lakini pia ni kutoka Kwa mkuu wa shule kuwa hadija ni mjamzito hivo
Kabla sijaendelea mama chozi likamtoka dada mtu akashika Tama
Dada yake hatukata maelezo akaita kwa sauti hadija akaitika akaja alikula kibao kimoja kitakatifu kutoka Kwa dadayake huku analalamika
Mamasule;humuonei huruma mama wew na uzee huu aibu gani hii ona tunahangaika tunatoka shamba mda huu tukusaidie unashida gani ww nimewahi kukunyima chakula?hadija,ulowahi kuomba sabuni ya kufulia nikakunyima,"hadija yupo kimya amekaa analia japo sio Kwa sauti sana
Huku mama anatetemeka Kwa hasira na uchungu Mimi nimepigwa na butwaa machozi yanatoka namuonea huruma hadija nawaonea huruma wazazi wake
Maliza basi tufanye mamb mengine.
 
Mamasule;humuonei huruma mama wew na uzee huu aibu gani hii ona tunahangaika tunatoka shamba mda huu tukusaidie unashida gani ww nimewahi kukunyima chakula?hadija,ulowahi kuomba sabuni ya kufulia nikakunyima,"
Dada mtu kazingua kweli shida ya Hadija sio chakula tuu
Hadija alikuwa anautaka kama kusoma mbona dada mtu kashindwa 😄
 
Mko salama nimepata wasaa mzuri Sana wa kuandika kisa hiki nimekaa nacho miaka mingi
Mnisamehe sio mwandishi mzuri

Nimesoma shule flani ya kata huko kijijini kwetu nakumbuka tulikuwa na mkuu wa shule mkali kweli kweli alikuwa Hana utani hata kidogo linapokuja suala la nidhamu na mambo yahusuyo shule

Ni yule Mwalimu ukimuona anakuja unaacha unachofanya unatulia kumsikiliza alikuwa mahir sana pia wa Somo la kiingereza
Wakat tunasoma sheria zilikuwa Kali sana na watu walikuwa wanakatishwa masomo ikibainika Kuna utovu wa nidhamu

Tukiwa tumebakisha wiki 5 kufanya mitihani yetu ya kumaliza kidato Cha nne nakumbuka kulikuwa na mazoezi yanaendelea Kwa ajili ya sherehe ya mahafali ambayo ilipangwa kufanyika wiki mbili kabla ya mitihani
Masomo yalikuwa yanaendelea pia kama kawaida
Siku moja tukiwa darasani asubuhi nikaja kuitwa kuwa nahitajika na mkuu wa shule ofisini kwake

Kwanza darasa Lilikuwa kimya kilamtu anashangaa nn kimenipata nikaingie ofisi Ile ambayo inaogopwa nikaanza kutetemeka nikaanza kujiset Vaa vizuri nikachomekea nikafuta viatu na makaratasi
Darasa lipo kimya muda huo nasikika mm navosogeza meza nipite nikaitike wito 😂😂😂nikaanza kuelekea ofisini hapo mapigo ya moyo yakiwa yamebadilika uoga mwingi pia nilikuwa ni mtu sijui kujieleza mawazo yalikuwa nimefanya Kosa gani niitwe ghafla hivi
Inaendelea
😁😁😁 mpk hapa hiki ni kama kisa changu kbsaaa🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom