Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

Ikabidi nikaze roho ili mambo yaende Mazungumzo na hadija s
Mimi:niambie ukweli rafikiyangu Kuna kitu nimesikia kuwa wewe mjamzito ni kweli ila usinifiche
Hadija;akawa mpole ghafla akauliza umemsikia nani?
Mimi:nikamwambia Haina haja wewe niambie tu sisi tuko pamoja tangu kidato Kwa kwanza usinifiche
Ukweli nilikuwa naaminik haikuwa tabu kumshawishi
Akasema anaujauzito wa miez 3 lakini dadayake Wala mamayake hajui na alishajaribu kutoa mara kadhaa imeshindikan a
Kuhus kijana alompa mimba ni kijana tupo nae mtaa mmoja na baada kumwambia ni mjamzito jamaa katorokea Dar hivo hayupo na hapatikani kwenye simu

Niliishiwa pozi sikuwa na akli Zaidi ila nikajikaza nilikuwa na najiuliza itakuwaje shule itakuwa vipi mwanaume kakimbia msala wazazi wake watapokeaje n mama ake alikuwa yupo kwenye kamati ya shule ni aibu itampata hii dakika za.majeruhi
 
Ikabidi nikaze roho ili mambo yaende Mazungumzo na hadija s
Mimi:niambie ukweli rafikiyangu Kuna kitu nimesikia kuwa wewe mjamzito ni kweli ila usinifiche
Hadija;akawa mpole ghafla akauliza umemsikia nani?
Mimi:nikamwambia Haina haja wewe niambie tu sisi tuko pamoja tangu kidato Kwa kwanza usinifiche
Ukweli nilikuwa naaminik haikuwa tabu kumshawishi
Akasema anaujauzito wa miez 3 lakini dadayake Wala mamayake hajui na alishajaribu kutoa mara kadhaa imeshindikan a
Kuhus kijana alompa mimba ni kijana tupo nae mtaa mmoja na baada kumwambia ni mjamzito jamaa katorokea Dar hivo hayupo na hapatikani kwenye simu

Niliishiwa pozi sikuwa na akli Zaidi ila nikajikaza nilikuwa na najiuliza itakuwaje shule itakuwa vipi mwanaume kakimbia msala wazazi wake watapokeaje n mama ake alikuwa yupo kwenye kamati ya shule ni aibu itampata hii dakika za.majeruhi
🙄Acha uvivu shusha vitu
 
Nikamwambia ukweli kuwa .kuu wa shule anajua aisee alilia Sana Hadi nilimuonea huruma tukabembeleza muda huo dadayake hakuwepo tukakubaliana tukae kimya nikaondoka kurudi nyumbni nikiwa na majonzi mno
Siku ya pili tukaenda shule kama kawaida mkuu akaniita kutaka mrejesho nikamwambia hali ulivo kuwa kijana ameshatoroka hayupo na ujauzito kweli upo na umegoma kutoka na hata wazazi na nduguzake hawafahamu Hilo

Akanambia nimwambie hadija akamwaambie wazazi wake
Bas bhana baada ya vipindi nilamfat kumwambia kuwa anatakiwa awaambie wazazi wake na dadayake tatizo alinalo
Akagoma huku analia akasema hawezi kuwaambia hasa mamayake nikamwambia twende Mimi nitawaambia
Kwakweli nilikuwa mdogo alafu sijui ujasiri nilipata wapi sikuwa nawaza namuitaje mtu mzima et akae anisikilize 😀😀😀
Bahat nzuri akasema mamaake na dadayake wako shamba pamoja hivo watarudi wote huwa wanapitia Kwa mamayao Kijiji Cha pili kuacha mzigo yeye ndio hurudi huku tunakoishi nikasema tumuwahi tukute wakiwa wote tukakubaliana

Nakumbuka Ilikuwa ijumaa Huwa tunatoka mapema kwaajili ya masjid Kisha tunarud saa 8 tukaazima baiskeli ya mwanafunzi mwenzetu tukapakiana Hadi kwao tukakuta hawajarudi shamba ikatulazimu kusubiri
Hadija akapika ugali tukala pamoja na wadogozake ambao walikuwa wapo pale kwao nakula huku nawaza neno la kwanza namwambia yule mama litakuwaje na uzee ule muhusika macho yamevimba Kwa kilio 😀😀
 
Back
Top Bottom