Nahisi labda Pesa imekata..Ndo mana wameshindwa kumaliziaYaani naona kama movie imekatishwa!
Hahahah Season 2 episode 12Hii soap opera imefikia episode namba ngapi?
Hata kama upo kwenye "46 team" usidhani Pombe ni sawa na mkwere mgawa vyeo kishikaji, naona upo bize ukidhani unaongeza credit kwa kumsema ovyo Lowasa kila mahali. MfyuuΓΉuuuu.Kama cdm wanavyo jaribu kwa Lowassa
Nahisi labda Pesa imekata..Ndo mana wameshindwa kumalizia
punguza jazba.Kama cdm wanavyo jaribu kwa Lowassa
Mapenzi haya ya mitandaoni ni shida tu,maneno ya mahaba yote yale waliyoandikiana? Ni bure kabisa.ka lulu kajanja,yeye huwa kanakula kimya kimya.humuoni mpenzi wake kwenye mtandao hata siku moja
Yule bidada angekuwa na mshauri mzuri angeweza kuwa brand inayotengeneza sana hela,..babu tale na fela hebu msaidieni huyu Dada,I'm sure magazet ya udaku yananufaika sana while yeye njaa tupu.
Can anyone predict who is next after idris?
Idris is dumped now......550million washed !
Lool Γ t you poor idris