Ile ni video clip ya birthday party ya romy jonsMbona ametokea kwenye video ya Raymond natafuta kiki halafu bure
Kaliwe sasa uzipate, i respect ur mom very much, najiuliza kama utafika umri huo utakua na swaga gani!!!?,sipati picha... Najiuliza tuu lakiniMwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.
"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50,that is not fair kwa kweli"
Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?
Wema is not worthy even USD 1000 for a role in the video.Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.
"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50,that is not fair kwa kweli"
Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?
Hahahahhamisa mobeto kwa jinsi alivyofurahi mule kwenye video... nahisi amefanya bureeee kwa kujitolea kabisa...
amefurahi sana anacheza kwa raha tele...
kama amelipwa amepata ndege wawili.. hela ya video na bado furaha yake ya moyoni
Kwangu hata iweje siwezi kuaminiHela zote hizi ulipwe ili kutokea kwenye video ya dakika 5 au 6?
Really?
Ngumu kuamini.
kalipwa!hamisa mobeto kwa jinsi alivyofurahi mule kwenye video... nahisi amefanya bureeee kwa kujitolea kabisa...
amefurahi sana anacheza kwa raha tele...
kama amelipwa amepata ndege wawili.. hela ya video na bado furaha yake ya moyoni