Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nichekee mie ni lin huyu mwanamke atakuwa kiakir maana akakuza makalio tuu,kwa kumuangalia tuu je anaweza kukataa milion 50 aliyotangaziwa na kama ana hela kweli kwann anacheza visingeli jukwaani,huyu bint hawez kuwa na akir hata siku moja ameishia ujinga tuuh kwanza ana biashara mjini huyu range ipo wapi nyambafu zake na kiki zake za kifala
Watu wamenuna....
Kisa mil 50
Wenzenu wanaongezaga sifuri jamani... sio wema wala domo
Jamani MSAGA SUMU ni muuza kahawa, msichukulie story zake serious, anatakaga tucheke!