Wema: Nilitaka mil 75 kuwa Salome, WCB wakanipa mil 50 nikakataa

Wema: Nilitaka mil 75 kuwa Salome, WCB wakanipa mil 50 nikakataa

Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.

"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50,that is not fair kwa kweli"

Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?

Hivi kweli unaweza kukaa chini na kutunga uongo, unafaidika nini wewe agent wa wema. It's about time watu muanze kupigwa fine.
 
Mmh kweli anaweza kuwa na value tshs 1blion? Kweli duniani vitimbi aviishi
 
Wema mwenyewe akisoma hii hadithi lazma atoe chozi na kutamani ingetokea kweli
 
Mbona ametokea kwenye video ya Raymond natafuta kiki halafu bure
Nmeona uzi humu anajiandaa kufungua kesi ya madai 10mil kuwekwa kwny vdeo bila idhin yke.
Sa 70mil then 50mil is nthng to her but 10mil worth more.
 
huyu huyu aliyeshindwa kulipa ankara za maji na umeme??
 
Hela ndogo Sana hizo, bora alivyokataa. Hata hizo millioni 75 alizosema ni kwa vile aliwapa discount tu.
 
Itakuwa ni 5ml mkuu hiyo 50 ni kujikweza aonekani yupo
 
Ina maana sura yake ina thamani kuliko uchi wake? Mbona uchi anauza bei karibu na bure?
 
niliona kwenye blog moja ya Kenya kwamba atamshtaki Diamond kwa kutumia clip yake akiwa na rayvanny kwenye birthday ya rommy kwenye video ya Salome , kwenye hiyo blog wanasema Martin ndo alimshauri akatae offa hiyo maana haiendani na hadhi yake
 
Back
Top Bottom