Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,897
Ngoja nilale nipange mikakati ya mapinduzi aiseee.... uchumi ninao why niukalie?
Eti binamu kwani watabandua waondoke nayo. Halafu pia so sabuni useme itaisha. Akuu mie :what::what::what:
Uzuri haisomi MILEAGE....Ipeleke tu ikatifuliwe,kaza roho