Wema, Sasa tunaanza kupata picha kuhusu Diamond..

Wema, Sasa tunaanza kupata picha kuhusu Diamond..

warumi halafu umesikia Rommy anavyoitwa!!!!!!!!!!!

kumbe nae ni .......................................
 
Nimeshasogea babe...haya niambie.

halafu bora uachane na CL kaza kwa Mu sir Wema full kuweka mabiff na wote wanaotoka nae

wakati waliachana akaenda kwa diamond sijui anataka Clement awe single wakati its all about SHARING lol
 
Nimechoka shoti.. Shida ya nini wakati mapedeshee Kama akina Mu-sir wapo kwa ajili ya warembo sie.

Why nichomwe moto wa vitumbua wakati naeza pata gari nikiwa kitandani...

Umeona eeh halafu situmii ule mtandao wa 0713.. yaani ni Full Vodacom kwangu only Papuchi applicable
 
Last edited by a moderator:
halafu bora uachane na CL kaza kwa Mu sir Wema full kuweka mabiff na wote wanaotoka nae

wakati waliachana akaenda kwa diamond sijui anataka Clement awe single wakati its all about SHARING lol

Umeona eeh...sharing is caring mwaya.

Mi wacha nikomae na Mu-sir wangu no foleni. Na nisivyopenda shurba najilia taratiiiiiibu.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh halafu situmii ule mtandao wa 0713.. yaani ni Full Vodacom kwangu only Papuchi applicable

Aah kwa hali hii Kazi ni Kwetu. 24/7 ni kazi tu.
So baby worry not I here to cater to you!
 
Ngoja nilale nipange mikakati ya mapinduzi aiseee.... uchumi ninao why niukalie?

Eti binamu kwani watabandua waondoke nayo. Halafu pia so sabuni useme itaisha. Akuu mie :what::what::what:

Hahaha na wala haiyoshi viombo au kupika kazi take moja itumie tu shost
 
Rapunzel who doesn't like good things!

Yaani Hapo ni dau la chini so anaeza nipatia hata range rover.

Nobody... ila shemeji ameshajitolea Aud ya kuzungukia kitaa ur very luck kazi kwako shost..
 
Last edited by a moderator:
Nobody... ila shemeji ameshajitolea Aud ya kuzungukia kitaa ur very luck kazi kwako shost..

Shosti yaani atapatata mahaba mpaka basi. Mu-sir

Chezea Audi wewe.. from TZ Eleven to Audi lazima nijitume kwa kila hali
 
Last edited by a moderator:
warumi halafu umesikia Rommy anavyoitwa!!!!!!!!!!!

kumbe nae ni .......................................

Malizia basi damwani......
Halaf nilimuona Romy kwenye video ya moyo wangu kakaa na Wemaa kumbe ni wa muda na domoo
 
Shosti yaani atapatata mahaba mpaka basi. Mu-sir

Chezea Audi wewe.. from TZ Eleven to Audi lazima nijitume kwa kila hali

Life is too short lets enjou it to the fullest. Why not??? Aah me with my baby?? Audi si mali kitu.
 
Last edited by a moderator:
Life is too short lets enjou it to the fullest. Why not??? Aah me with my baby?? Audi si mali kitu.


Say it again by whispering into my ears honey!

Me love you love yooooooouuuu
 
Hivi wema mwenyewe yumo humu?andika basi hat kwenye instagram yake page itakua poa!!
 
Back
Top Bottom