BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hahah[emoji23][emoji23]co sir huyu drama qeen huwa ananichesha sana mbaya zaid mm huwa simuamin kbs alitudanganya nyumba,range ,mimba tena ya mapacha sasa na hili siamin ingawa ndoa ni jambo la heri ila camin mpk nione
Kwani Iddi kaachana nae .....??Mi nimependa huo mgongo alivyolala huyo calisa,,
absolutelySo unataka kutuambia sepefenga anaolewa na muonyesha vufuzi.
Hata sijuiKwani Iddi kaachana nae .....??
Thubutuuu labda jokate wa uko uko tandale kwenuAhahaaaaaah...
Kweli ya dunia mengi...
Huyu Bwana leo anamnyapianyapia Wema Sepenga..!
Wakati kipindi hicho tupo nae Kurasini Sec School alikua NYUMBU tu..!
Dah..!!!
Ngoja na mimi niendelee na HARAKATI zangu,labda siku moja nitaandikwa humu kwamba NABATUA Jokate Kidoti..!
Halafu unajua we demu unafaa sana,ila basi tu mi na woga wangu wa kuchepuka.Hata sijui
Six packs bila pesa? Shauri yako utakuwa mlinzi wa diamond platnumzKumbe mastar wanababaika na six pack. Acha niende gym na mimi sasa Mangekimambi[emoji15] nakuja na six pack.[emoji12] Mademu wa jf kuleee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe Sasa niote nini..!?Endelea kuota
Hahaahaha halaf wewe Nyani Ngabu njoo uone hapaHalafu unajua we demu unafaa sana,ila basi tu mi na woga wangu wa kuchepuka.
Kwahiyo mademu wa humu, wote mpenzi wenu Nyani ngabu.....??Hahaahaha halaf wewe Nyani Ngabu njoo uone hapa