AsanteSawa mkuu mwenye IQ kubwa
Kubwa sana omba msaada uelimishwe.Kuna watu washamba had mnachosha kwahiyo mungu na MUNGU kuna utofaut
HahahahaUmepotoshwa mshamba mkubwa wewe tofaut ya MUNGU na mungu iko moyon na kwenye matendo siyo kwenye maandiko
Acha kuisingizia ccm kwenye kila kitu maana kuna siku mkeo atapigwa miti na utaanza kulia lia na kuisingizia ccm
TrueSi busara kutukana utaonekana mpuuzi zaidi ya uliyemtusi hata kama alikua kakosea.!
Tofauta ipo kubwa sana mkuuKwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Kamuulize pole poleDa Mange ametoa tamko gani hadi sasa...
Wewe unaona nisawa?Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Ndiyo mungu anaweza akawa hata kutoka kanda ya ziwa ila Mungu ni muumba wa kila kinachoifanya duniaKwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Twende jukwaa la wakubwaMmm mbona umepanic hivi?