Wema Sepetu adai Makonda ni malaika wa Mungu aliyetumwa duniani

Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo

Kwenye uandishi wa hayo maneno kuna tofauti kubwa Sana, Kwa Mimi ambaye nimesomea elimu yangu ya sekondari kwenye shule za seminary za kanisa katoliki Nina thread zangu huku jf nimemtaja Mungu.
Kwa protokali ya kanisa ,sehemu yeyote Ile neno Mungu lazima liandikwe Kwa herufi kubwa lote au herufi ya kwanza ianze Kwa herufi kubwa.
Huyo nadhani atakuwa mungu wake yeye na jamaa wenzake wasanii waliocheza muvi za god's must be crazy.
Manake utataka kuniaminisha Mungu Baba muumba wa Mbingu na Nchi ni sawa na yule wale jamaa waliocheza muvi hizo za god's must be crazy.
Mimi mtu akishashindwa kuandika neno Mungu ipasavyo namtoa maana kabisa.
Kwa hiyo unataka kutumaanisha mungu wa kwenye god's must be crazy ni sawa kabisa na Mungu wa kanisani?
Acheni ubashite wenu zero in paper kweli ni zero in brain.

Halafu kumbe wewe Beira Boy ndio lemutuz.
Acha kujizidharaulisha mtu mzima hovyo.
 
Sawa
 
Mzee Makonda kashakula tako tu hapo hamna jengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…