kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Sheeeee .....inzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah haujui km kuna tofauti ya mungu na Mungu aiseee, acha CCM itutawale tu
Labda ni kwa imani yake yeye na dini yake mpiya ambayo inayo malaika wa namna hiiAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu
Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe
Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda
View attachment 704220
ww huoni tofauti?Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
una matatizo ww..kwa hiyo ww unaona hao wote wamekosea ila ww ndo iko sahihi?Kuna watu washamba had mnachosha kwahiyo mungu na MUNGU kuna utofaut
kwa nn Biblia inatofautisha kati ya Mungu na mungu...toa ushamba wako hapaUmepotoshwa mshamba mkubwa wewe tofaut ya MUNGU na mungu iko moyon na kwenye matendo siyo kwenye maandiko
Acha kuisingizia ccm kwenye kila kitu maana kuna siku mkeo atapigwa miti na utaanza kulia lia na kuisingizia ccm
Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Kwa wakristo kuna tofauti kubwa sana.Kuna watu washamba had mnachosha kwahiyo mungu na MUNGU kuna utofaut
Kuna watu washamba had mnachosha kwahiyo mungu na MUNGU kuna utofaut