Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Najua mimba inakusumbua ukizaa utaacha...

Angekua kakamilika huyo asingepoteza muda wa kukwaruzana hovyo na watu mpaka anachezea ban kila siku.....

Anakazi ya kubadili ID kila uchao zile zingine zote ziliunganishwa kwa ajili yangu ngoja nimfungie kazi Leo anawaonea bure ye kama kidume aje kule siasani sio kuwavurugeni huku
 
Duh! unavyoshughulikiwa wewe unadhani kila mtu anashughurikiwa? kumbe humu kuna watu mnawaogopa sana akitokea mtu ambaye yuko against na ujinga ghost la wale mnaowaogopa linawajia.
kahtaan satellite imemnasa mwanao wa kufikia huku njoo umchukueeeee
 
Last edited by a moderator:
Taratibu shost, utaondoka kama ulivyoingia....
Naona imekuuma, me siishi kwa kutegemea chiu kama wewe....am independent woman!
Na utasuguliwa sana mpaka iote sugu kisa smartphone....hahahaaaaaaaaa!

safiiiiiiiiii,yani huyu ndo walewale kasoro tarehe.
 
Hata kama mtu kakukosea hebu jaribu kuyamaliza nyie wenyewe haya mambo yakuwaingiza hadi wazazi haipendezi na wala si heshima

achana nae huyo kikongwe ana stress za kukaa stendi bila nauli,mi simtukani ht kidogo ila ntamchambisha bila maji,mwana mjaaruta!
 
Team haters utanipachika majina yote unayoyapenda, wewe ni sehemu ya watu wasiojielewa hapa jamvini, unatafuta sapoti ya kuungwa mkono na watu ambao hawana interest na jukwaa la celeb, umebugi men.

hivi wewe ni nani au huko nyuma unawashwa na nini? usinizoee na kama unadhani unanijuwa mimi sikujui labda kama unajipendekeza kwangu.

wewe na na makafir wenzako ni watu wakuchomwa tu.

Kazi mitusi tuuu,kumwita mwenzio kafir we naswara mwenzetu utapelekwa wapi,HUJAITWA WAITIKA,UKIITWA JE?kwendraaaaaaaaaaaaa
 
achana nae huyo kikongwe ana stress za kukaa stendi bila nauli,mi simtukani ht kidogo ila ntamchambisha bila maji,mwana mjaaruta!

Ningekua mimi nisingerud haya maneno lakin kwa vile ana kiburi heeeeeelo huyu atakua ni fundi seremalaaa aisee
 
Ningekua mimi nisingerud haya maneno lakin kwa vile ana kiburi heeeeeelo huyu atakua ni fundi seremalaaa aisee

Warumi kamnyima mheshimiwa first class anahasira sana, mwacheni atukane mwenyewe akiona hakuna wa kumjibu atakaa kimya
 
we mtoa mada mchawi,nibora ungesema,Tujifunze kitu gani kutoka kwa msanii/ miss tz .wema sepetu. ila hii issue ya kufa we mchawi naisi.
 
Kazi mitusi tuuu,kumwita mwenzio kafir we naswara mwenzetu utapelekwa wapi,HUJAITWA WAITIKA,UKIITWA JE?kwendraaaaaaaaaaaaa

Huyo niachie Mimi kama mwanaume tupambane ntahakikisha ID yake inaunganishwa na hii muache Mkuu nimmalize kisonoko huyo dume gan kutwa kubishana na akina dada humu Leo nipo radhi nipigwe ban kwa aajili yake
 
Back
Top Bottom