Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Mimi nitamkumbuka kwa kuweza kukaa kwenye headlines kwa muda mrefu kuliko Mastaa wengine.
 
hiyo ni offer nzuti umenipa kuipumulia tigo yako haina shida ila usinijambie au kunimwagia uharo tu. I will grant you're wish.

Sasa unajihangaisha kubadil ma ID ili iweje?? Dah mbona hujiamin kijana
 
Mi ntankumbuka kwa kutupiga fix kua kanunua nyumba ya milioni 400 na kutangaza hadharanii aisee hili sitalisahau ntawasimuliaga hadi wajukuu zangu
Ile ya kufungua ofisi na kunyang'anywa vifaaa aisee hii sitasahau
Kukosana na kurudiana na Diamond sitasahauuu
Na kunyang'anywa garii na clement duu

naikubali team yenu kinomaaaaa!!!
 
utafurahi dans ili uinamishwe upigwe nao halafu kelement akupe wewe gari?

serikali ilifanyie kazi hili tatizo la ajira tutazalisha kundi la mashoga wa kutosha kabisa kama hali itaendelea hivi.

dah!vipi kwani una degedege la ukubwani??mana upaniki kama umezidisha dozi ya malaria.
 
Tuanze na wewe tutakukumbuka kwa lipi? Charity begins at home.
 
Tumeshuhudia mastaa kadhaa waliotutoka na kuacha simanzi kubwa kwa watanzania kutokana na umahiri wa kazi zao eg. Kanumba aliliza wengi kutokana na ukali wake kwenye filamu,Ngwea aliliza wengi kutokana na unoma wake kwenye michano(Rap),n.k.Nimejaribu kujiuliza swali hilo kwa 'Superstaa' wetu ambaye haiwezi kupita siku bila kusikia habari zake bibie Wema Sepetu ni kipi alichotufanyia watanzania kitachofanya tumkumbuke kama hao niliowataja?

Kwa Makalio yake makubwa kama zigo la mwizi...!
 
Kwa kizungu gani, ile ni swanglish plus mashauzi basi...na sauti yake ile kama paka aliyenyimwa maziwa.

Mmh mi ule uongo wake tu wa kudanganya amenunua nyumba ya mil400 kumbe tapeli , kwa hilo kamwe sitomsahau
 
Mmh mi ule uongo wake tu wa kudanganya amenunua nyumba ya mil400 kumbe tapeli , kwa hilo kamwe sitomsahau

Yani binamu watu wana mashauzi duniani, manake wanaweza kukufanya ujichukie. Me nlikuwa najiuliza wenzetu wana K za aina gani za kufanya wahongwe mihela yote hiyo ya kununua nyumba...manake sijawahi kusikia kainvest popote..so biashara ya maana hana hapa mjini....nikasema watu wanajua kuhongwa jamani......kumbe kakodishwaaaaaa hahahaaaa!
 
mmeanza kuja na id zenu zilizojiicha? misunu yenu wote mtatoka baru hapa kma njenje.

weweee...acha mikwara bubu dogo,usijibiwe we una matatizo kweli!mbona una chuki bure wewe!mwenzetu wa wapi weweee,hebu huko!umekunywa uji wa mgonjwa nini?!!
 
Yani binamu watu wana mashauzi duniani, manake wanaweza kukufanya ujichukie. Me nlikuwa najiuliza wenzetu wana K za aina gani za kufanya wahongwe mihela yote hiyo ya kununua nyumba...manake sijawahi kusikia kainvest popote..so biashara ya maana hana hapa mjini....nikasema watu wanajua kuhongwa jamani......kumbe kakodishwaaaaaa hahahaaaa!

wewe umeshawahu kukodishiwa wapi? na ni nani amewahi kukuhonga gari? hata smartphone hujawahi kuongwa peleka ushuzi wako mbele huko hater.
 
Back
Top Bottom