Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Heshima kwan umemzaaa

Unajua binamu kuna watu wakigombana na sisi wanaona fahar , maana kuna watu wanatuona miungu mtu humu, kuna siku nakumbuka nilimquote mtu humu akaja pm mbio kunishukur nimemjibu comment aaah aah nikacheka sana, kwenye PM yangu kuna vituko binamu we acha tu , naona humu wanajishau baadae wanakuja pm kuomba umbea aaah aah
 
Unajua binamu kuna watu wakigombana na sisi wanaona fahar , maana kuna watu wanatuona miungu mtu humu, kuna siku nakumbuka nilimquote mtu humu akaja pm mbio kunishukur nimemjibu comment aaah aah nikacheka sana, kwenye PM yangu kuna vituko binamu we acha tu , naona humu wanajishau baadae wanakuja pm kuomba umbea aaah aah

Halaf huyu si tulimnyima umbea ndio maana ana hasira na ww na hatumpiii akituma pm usimjibu binam mjibu hapa hapaaa
 
Halaf huyu si tulimnyima umbea ndio maana ana hasira na ww na hatumpiii akituma pm usimjibu binam mjibu hapa hapaaa

Na capture kabisa nayamwaga humu , maana humu wanajifanya wana midomo baadae wananijazia pm zangu wanatak umbea , ntawakariri majina , maana Nina wadau wangu special ambao hawa comment humu kwa kuogopa kujichoresha ila wanapendaga sana umbea , uwa nachka sana , sasa mtu hakuoni wewe wala picha yako unaogopa kujipa raha ya nn? Anyways uwa naheshimu maamuz yao na wanakujaga wengi tu pm sana binamu , mm Nina siri sana kwenye PM zangu we ngoja wanivuruge tu, maana sipendag kutoa mambo ya pm niyalet humu sasa wanalazimisha
 
Na capture kabisa nayamwaga humu , maana humu wanajifanya wana midomo baadae wananijazia pm zangu wanatak umbea , ntawakariri majina , maana Nina wadau wangu special ambao hawa comment humu kwa kuogopa kujichoresha ila wanapendaga sana umbea , uwa nachka sana , sasa mtu hakuoni wewe wala picha yako unaogopa kujipa raha ya nn? Anyways uwa naheshimu maamuz yao na wanakujaga wengi tu pm sana binamu , mm Nina siri sana kwenye PM zangu we ngoja wanivuruge tu, maana sipendag kutoa mambo ya pm niyalet humu sasa wanalazimisha

Wakuwaaaacheeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka max atutimue humuuu wengine wanye tikitiiiii
 
Back
Top Bottom