Wema sepetu akifa tutamkumbuka kwa lipi?

Najua mimba inakusumbua ukizaa utaacha...

Angekua kakamilika huyo asingepoteza muda wa kukwaruzana hovyo na watu mpaka anachezea ban kila siku.....

Anakazi ya kubadili ID kila uchao zile zingine zote ziliunganishwa kwa ajili yangu ngoja nimfungie kazi Leo anawaonea bure ye kama kidume aje kule siasani sio kuwavurugeni huku
 
Duh! unavyoshughulikiwa wewe unadhani kila mtu anashughurikiwa? kumbe humu kuna watu mnawaogopa sana akitokea mtu ambaye yuko against na ujinga ghost la wale mnaowaogopa linawajia.
kahtaan satellite imemnasa mwanao wa kufikia huku njoo umchukueeeee
 
Last edited by a moderator:
Mimi sio Star,Wema is Star 4 nothing!

umaharufu mnampa wenyewe kila kukicha mwamzungumzia. ...nafikiri hata ww utamkumbuka coz unaonekana uko very interested na issue zake. .....
 
Taratibu shost, utaondoka kama ulivyoingia....
Naona imekuuma, me siishi kwa kutegemea chiu kama wewe....am independent woman!
Na utasuguliwa sana mpaka iote sugu kisa smartphone....hahahaaaaaaaaa!

safiiiiiiiiii,yani huyu ndo walewale kasoro tarehe.
 
Hata kama mtu kakukosea hebu jaribu kuyamaliza nyie wenyewe haya mambo yakuwaingiza hadi wazazi haipendezi na wala si heshima

achana nae huyo kikongwe ana stress za kukaa stendi bila nauli,mi simtukani ht kidogo ila ntamchambisha bila maji,mwana mjaaruta!
 

Kazi mitusi tuuu,kumwita mwenzio kafir we naswara mwenzetu utapelekwa wapi,HUJAITWA WAITIKA,UKIITWA JE?kwendraaaaaaaaaaaaa
 
achana nae huyo kikongwe ana stress za kukaa stendi bila nauli,mi simtukani ht kidogo ila ntamchambisha bila maji,mwana mjaaruta!

Ningekua mimi nisingerud haya maneno lakin kwa vile ana kiburi heeeeeelo huyu atakua ni fundi seremalaaa aisee
 
Ningekua mimi nisingerud haya maneno lakin kwa vile ana kiburi heeeeeelo huyu atakua ni fundi seremalaaa aisee

Warumi kamnyima mheshimiwa first class anahasira sana, mwacheni atukane mwenyewe akiona hakuna wa kumjibu atakaa kimya
 
we mtoa mada mchawi,nibora ungesema,Tujifunze kitu gani kutoka kwa msanii/ miss tz .wema sepetu. ila hii issue ya kufa we mchawi naisi.
 
Kazi mitusi tuuu,kumwita mwenzio kafir we naswara mwenzetu utapelekwa wapi,HUJAITWA WAITIKA,UKIITWA JE?kwendraaaaaaaaaaaaa

Huyo niachie Mimi kama mwanaume tupambane ntahakikisha ID yake inaunganishwa na hii muache Mkuu nimmalize kisonoko huyo dume gan kutwa kubishana na akina dada humu Leo nipo radhi nipigwe ban kwa aajili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…