Wema Sepetu akijitetea Skendo ya kujiuza kwa Mkongo kisha kukimbiwa bila malipo

sasa huyu Steve Nyerere amejipamba mabendera kama anaenda kwenye mechi ya Taifa Stars, tabu yote ya nini? Anaonekana kama hamnazo huyu.


Hahahahahaha nimecheka.sana lol!
 
Mambo yamemnyookea kapewa dili la kuweka matangazo ya ccm kwenye insta page yake
 

Hata mi nilikua fan wake ila nowdays naona kanishinda, hiyo team yake haijielewi kutwa kutukana watu hata akikosea kwao sawa tu
 
DA kwe li no Wema mama huruma ,yani kila dude yeye ni twende tu
 
WEMA SEPETU AFUNGUKA UKWELI KUHUSU VOICE NOTE ILIYOVUJA YA YEYE NA MBOWE

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…