Wema Sepetu akutwa na hatia ya kukutwa na Madawa ya kulevya! Alipa faini na kuachiwa huru

alijipeneekza ccm kisa wamsaidie kesi ,pamoja na kujipendekeza kwa bashite pia karungwa tu
 
2M tu vs billions?
ngoja nami nianze biashara ya ngada fasta.....inalipa!!
 
Kwa lugha nyingine mahakama imedhibitisha kuwa Wema Isaack Sepetu ni mvuta bangi, mvuta ganja, mvuta msuba!! Hataenda jela as atalipa fain ila jamii inajua kuwa Wema ni mvuta bangi na mvuto mmoja wa bangi hukaa kichwani kwa miaka7. Tutahusianisha kauli na matendo ya Wema sepetu na bangi avutayo
 
Ndiyo maana huwa akili yake haiku vzr muda mwingine sababu ya Ngada
 
Mahakama zetu zinakosa credibility kwa Mambo haya haya ya kuangalia Status ya mtu na Fame yake ndio zitoe judgement, All in all, Karma is a bitch, Never losses his adress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…