Wema Sepetu akutwa na hatia ya kukutwa na Madawa ya kulevya! Alipa faini na kuachiwa huru

Haaa kwani hujahusisha hadi leo
 
And that's why we found a lot of poor prisoners in the prisons.


Yana mwisho .
Poor people I'm all about fighting for you.
For free, au unasqueeze hata hicho kidogo alicho nacho huyo poor people ili kumtetea, au unamtetea kwenye JF huyo poor people
 
ML 2 NI NDOGO SANA AISEE, INAHAMASISHA WATU KUENDELEA KUTUMIA NA KUJIHUSISHA NA DAWA ZA KULEVYA...BORA KUSINGEKUWA NA AU FAINI...INGEBAKI SERO MIAKA HIYO ILI WENGINE WAOGOPE JAPO KIDOGO...SASA IYO 2ML SI ANALIPA KWA MPESA TU?
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa..dawa za kulevya adhabu M2??
Adhabu huwa inatolewa kutokana na aina ya dawa za kulevya ulizokutwa nazo na kiwango cha dawa hizo. Ifahamike kuwa Wema alikutwa na msokoto wa Bangi ndiyo maana adhabu yake imekuwa ndogo.
 
Akakate rufaa, kwani alikutwa na bangi kweli...?
 
Kuna mtu kanichekesha nimecheka nimeumia.Ameniambia kuliko kukutwa na samaki walio chini ya kiwango cha ukubwa sasa hivyi ni aheri ukamatwe na bangi unaweza singizia umekuwa nayo sababu tu ni dawa ya sikio maana bangi inatibu sikio
 
Star wa Filamu Bongo @wemasepetu Amehukumiwa Kifungo cha Mwaka Mmoja Jela au Kulipa Faini ya Shilingi Milioni Mbili za Kitanzania Kwa Kosa la Kukutwa na Dawa za Kulevya.

Watuhumiwa Wengine ambao walikutwa na hatia hiyo, wakiwemo wafanyakazi wa ndani Nyumbani kwa Wema Sepetu wameachiwa huru baada ya kukutwa hawana hatia yoyote.

[HASHTAG]#Tumewasha[/HASHTAG] [HASHTAG]#HiiNiYetuSote[/HASHTAG] [HASHTAG]#SanaaImezaliwaUpya[/HASHTAG] [HASHTAG]#ChomboKwaHewa[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…