Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
!
!
Nasikia alikatwa utumbo
!
Nasikia alikatwa utumbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafanya mazoezi ya kutengeneza manati
Beauty is short lived tyranny-Socratestako lote kushnehi
Siku zote jambo la kweli halihitaji editing,,With the internet comes a lot of information, but you can decide whether you will hear it from the source or from a third-party.
Jaribu sikiliza interview alifanyiwa nadhani last week na wakina gea alieleza kila kitu.
Ni masikitiko makubwa kabisa kwa watu wa chaputa,,Hapo ndio mimi sielewi. Kama amekata tumbo kwa nini na lile tako na hips vimeisha kabisa?
Mkuu mimi sitaki msemea, yeye kama yeye sijawahi kusikia anasema au anakiri kuwa alikata utumbo, zaidi ya hizi stori kuanzia kwa Mange. Hivyo sijui kama kweli au lah, yeye ndiye anajua nami nimechagua kuamini alichosema yeye kuwa hajakata utumbo ila alienda china kuhusu mambo ya uzazi ndipo akagundulika kuwa alikuwa kwenye uelekeo wa kupata cancer apunguze ubonge, na akapewa dawa na njia za kupungua kwanza kama safari yake ya kuelekea kupata uzazi.Siku zote jambo la kweli halihitaji editing,,
Wakati wema sepetu anandaa mipango ya kwenda India kufanya hayo watu walimsihi sn,
Kupitia kwenye acc mbali mbali za Instagram,,, yeye akaweka pamba masikio akaendeleza dhumuni lake hilo la kukata utumbo,,
Na wakati huo hakukuzungumziwa mambo ya uzazi wala ugumba,,bali walizungumzia kupungua mwili na kurudi kwny figer yake ya zamani kabla ya kunenepa,,,
Sasa ameona dunia imemuinamia anaanza kusema sababu ya kutaka kuzaa,,,
BIG NO..
Sawa mkuu,,lakini hayo yalielezwa kabla ya safari yake hyo,,kwamba atapunguwa sn ,,,anapaswa asitishe jambo hilo,,Mkuu mimi sitaki msemea, yeye kama yeye sijawahi kusikia anasema au anakiri kuwa alikata utumbo, zaidi ya hizi stori kuanzia kwa Mange. Hivyo sijui kama kweli au lah, yeye ndiye anajua nami nimechagua kuamini alichosema yeye kuwa hajakata utumbo ila alienda china kuhusu mambo ya uzazi ndipo akagundulika kuwa alikuwa kwenye uelekeo wa kupata cancer apunguze ubonge, na akapewa dawa na njia za kupungua kwanza kama safari yake ya kuelekea kupata uzazi.
Watu wengine mafuta yao yanakaa kwenye matako.Hapo ndio mimi sielewi. Kama amekata tumbo kwa nini na lile tako na hips vimeisha kabisa?
kuna sweet hapo??!!Tanzania sweetheart
tako lote kushnehi
Mamaeee aaiseeee jamaa una dhambii sanaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani kakondaaa hapo hata nyampuu mifupa tupuKwa huo wembamba akisimama kwenye mvua inaweza kumkosa