Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Mozila

Senior Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
174
Reaction score
48
Wema sepetu ametoa mil 13 cash leo mahakamani kuzuia msanii kajala asiende jela kwa miaka 8, baada ya hukumu yake kutolewa leo..halla! mamy sepetu.

Hukumu ya Kajala ni kwamba kesi ya kwanza anatakiwa kulipa faini ya million 5 na ya pili ni millioni 8 au kwenda jela miaka mitano. Wasanii wa bongomovie wanazichanga hapahapa kuzilipa ila zimepungua kidogo. Wema na Zamaradi wamekimbia ATM kuzichukua zingine. Leo leo Kajala anafika nyumbani kwao. Umeipata kwanza hapahapa exlcusive. Bongomovie umoja upo sana tu.God Bless!
From: www.bongomovietz.com


Updates::::Wema Sepetu Mil 13 kazitoa mfukoni mwake kumchangia KAJALA atoke jela...


attachment.php

Hawa hapa!!!!!!!!!!!!
 
kama ana moyo wa kusaidia ni hongera zake....

kama kujishowoff hongera zake pia....

natumaini anakumbuka kujiwekea kesho yake.......
 
Wakuu naulizia kuhusu hukumu ya msanii Kajala. Kuna mwenye taarifa ya kinachoendelea mahakamani leo, maana leo ni siku ya kusomewa hukumu yake.
 
Hukumu ya Kajala ni kwamba kesi ya kwanza anatakiwa kulipa faini ya million 5 na ya pili ni millioni 8 au kwenda jela miaka mitano. Wasanii wa bongomovie wanazichanga hapahapa kuzilipa ila zimepungua kidogo. Wema na Zamaradi wamekimbia ATM kuzichukua zingine. Leo leo Kajala anafika nyumbani kwao. Umeipata kwanza hapahapa exlcusive. Bongomovie umoja upo sana tu.God Bless!
From: www.bongomovietz.com


Updates::::Wema Sepetu Mil 13 kazitoa mfukoni mwake kumchangia KAJALA atoke jela...
 
Safi...bongo movie wamekua kidogo kiakili maana wangeanza kusumbua Watanzania
 
Ni jambo jema kuona mshikamano huo,ila ni vyema zaidi ukawepo umoja na mshikamano katika kuwajibishana kwa wote wanafanya mambo kinyume na maadili ya sanaa hiyo/utamuduni wa stahaa/ n.k...
 
wema marangapi ana jitolea kusaidia wasioelewa wanaongea ongea tu
 
wema.ubarikiwe sana MUNGU AKUZIDISHIE MARA MILLION HAPO ULIPOTOA
 


HUKUMU ya kesi iliyokuwa inamkabili staa wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja na mumewe imetolewa leo na Hakimu Sundi Fimbo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar. Katika hukumu hiyo Kajala amehukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi milioni 13 na mumewe kwenda jela miaka saba au kulipa faini ya shilingi milioni 200.
Kajala alikuwa anakabiliwa na kesi ya kuuza nyumba iliyowekwa kizuizini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) baada ya mumewe, Faraji Agustino kukumbwa na msala wa kutakatisha fedha haramu.
 
Wakati mwingine Wema akili nzuri inamrudia kwa kweli.......!
Jambo hilo amelifanya vyema.......!:yo:
 
Wema sepetu ametoa mil 13 cash leo mahakamani kuzuia msanii kajala asiende jela kwa miaka 8, baada ya hukumu yake kutolewa leo..halla! mamy sepetu

Sio jela miaka 8 bali ni miaka 5.
 
aisee.......safi sana wema pepeku.........uendelee na jimoyo lako jema!!!
 
Back
Top Bottom