Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Are a male or a female just curious to know.
I am not trying to offend you just I wanna know if you wont mind telling me
No offense,I am who you think I am.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are a male or a female just curious to know.
I am not trying to offend you just I wanna know if you wont mind telling me
mkuu ntamaholo, unajua mambo ya bongo yanaenda kibongobongo na ndio maana hata yale yaliyo aibu nchi nyingine hapa hufanyika wazi wazi, au unabisha!?mmhuuu!!!! ndo nini hapo? kama kuna kitu tofauti kinazungumziwa hapo
mkuu ntamaholo, unajua mambo ya bongo yanaenda kibongobongo na ndio maana hata yale yaliyo aibu nchi nyingine hapa hufanyika wazi wazi, au unabisha!?
Nimepata haka kalink, labda ukikapitia ndio ujue kuwa tunaye billionaire ambaye cash za kukaa kwenye mfuko zinafikia kwenye 20m
Wema Sepetu ni Bilionea!! Soma hapa kwanini tunasema hivyo.Exclusive Details: Wema Sepetu ni tajiri kiasi gani? | Bongo5
haka ka jamaa kwa kujipendekeza ni balaa eti kanajiandaa kumwandalia sherehe prezident kikwete pyuuuu!!!!!!
Jana kuna dogo katangazwa kuwa bilionea akiwa ni kidato cha sita, na ametajwa utajiri umetokana na nini. Alifikiria akatengeneza software ya kucheck/kusoma habari za TV kupitia simu ya mkononi. Sasa huyo mlimbwende, tuseme utajiri wake umeanzia aliposhinda umiss. Sasa chukua pesa ile na vyanzo vingine vyote unavyodhani ni shughuli za wema, toa na matumizi yake kwa siku, unadhani anastahili kuitwa milionea? Kwa lipi alilofanya kuzalisha pesa hizo?
Sasa siri za ndani zahusika vipi ? wewe ukienda hosp unasumbuliwa na " BAWASIRI "alafu dokta akaanza kutangaza kwa kila mtu utafurahi ?akitoka nje, akaondoe lile liringi/liheleni kwenye kisimi/clitoris chake haraka, manake alivyopekuliwa kule gerezani alikutwa na bangili/heleni kwenye harage lake aibu tupu. kweli huyo mwanamke alishindikana kucheza danguro kule alikomtoa p funk, hata huyo fariji sijui alifuata nini kwa mcheza shoo.....mshaurini aendelee kujikita kwenye bongo muvi, asirudie matapishi.
HongeraWema sepetu ametoa mil 13 cash leo mahakamani kuzuia msanii kajala asiende jela kwa miaka 8, baada ya hukumu yake kutolewa leo..halla! mamy sepetu.
nimewasoma mashabiki wa bongo movie bongolala lakini msisahau bongo usanii ni kama ada mtu anatoka mahakamani anamchukua mwandishi wa udaku anaenda nae benk then anapigwa picha kwenye gari lake na pesa zote zinapigwa picha then anazishika then wanampiga picha tena yaan from charity to developing story hakuna lolote ni upuuzi tu halafu watu wanashangilia pumbaaf
aisee.......safi sana wema pepeku.........uendelee na jimoyo lako jema!!!