Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Duh, haya nayo ni maendeleo. Sasa watoto wa mjini ule msemo wa "ni heri kuzaliwa mbwa Marekani" ubadilike iwe "ni heri kuwa mbwa wa Wema".

Kama wastani wa kipato cha Mtanzania ni chini ya Tsh 1,500 (chini ya $ moja) basi bajeti hii ya mbwa wa Wema inalisha watanzania zaidi ya 10 kwa mwaka.

Wengine pesa tumeishia kuzisoma kwenye vitabu tu, kujipatia vyeti vya heshima na kuishia kufurahia tu sifa ya kuitwa wahasibu, wataalamu wa masoko au wataalamu wa uchumi basi! Nadhani ni wakati muafaka kuachana na jeuri yetu tuombe darasa kwa watu kama Wema!
 
Hapo kuna umuhimu wa kuwajulisha animal rights group waje kuwachukua hao mbwa na paka.

Nikilinganisha na mbwa wa Wema, hao mbwa wako huwatendei haki kabisa.

Ndo maana twiga na tembo wetu wako katika hali mbaya kwa sababu ya watu kama nyie.

Mkuu hapo kwenye red...nadhani ungesema, ndio maana twiga na tembo wetu wameamua kuamia Dubai!
 
penis-dog.jpg

You are a fool for this one bruh!

Where Mwali at?
 
Last edited by a moderator:
Mtani, charity goes with publicity, as a promotional tools for her proffessional carrier.

Ndiyo maana nikasema hii si charity, hii ni ad, kama vile mtu anavyoweza kununua ukurasa katika gazeti.

Huyu kafanya issue ya mwenzake ndo sehemu ya kujitangaza.
 
Hivi bongo muvie zinalipa kiasi hiki cha mtu kuwa na vimilioni kazaa na kuvitoa bila kuumiza kichwa?
 
Wazazi wake hawakukosea kumuit Wema sidhani kama angekuwa Hivi kama angekuwa anaitwa shida,tabu,sikitu,siwema nk nk Mungu akubariki sana angalieni sana majina mnayowapa Watoto wenu
 
Kama anajitangaza hajasaidia , kanunua ad space tu.

Tunaosaidia na kujua maana ya kusaidia hata huwezi kutusikia tunajitangaza kwa majina.

Wewe kaka yangu nakupongeza kwa kufikiria nje ya boksi tena in a way great thinkers do.

Anyway kitu kizuri ni kwamba kasaidia.
 
this is a game and it needs people who know how to play it. Just sit and watch.......
Kwangu mimi haijalishi ela kaitoa wapi na kaipataje (lazima watu wajiulize ni kitu gani anafanya mpaka awe ana ela ya kutoa bila mawazo kiasi hizo) la msingi kamtoa mwenzake.

Big up wema mwana wa sepetu kwa kumtoa mwenzako maana jela si kuzuri hata kidogo
 
wema nyota yeke ileeeeeeeeeee!! matjiuliza mengi hamtapata majibu!
 
yeah thats ma BOSS lady Wema Sepetu,,,,,,,,,,,,,,,,,,saidia mama saidia sura nzuri roho nzuri pia......, Kina penny mkafie huko mlikoenda kujitengesha.Wema ndo Habari Ya Mujini,mwacheni dada yetu miaka 800
 
Wakuu mi nipo nyuma kidogo(ushamba) naomba mniweke sawa hapa kutakatisha hela haramu what does it mean? Yaani jamaa kafanyaje?
Kutakatisha fedha ni money laundering, GOOGLE IT utapata hata maana tu kama we si msomi wa sheria. kwa kifupi ni kwamba, mtu anapata pesa kwa njia isiyo halali, ile pesa inakuwa kwa jina lingine pesa chafu. baada ya hapo anaanza kufanya vitu vitakavyoihalalisha ile pesa iwe safi. wengi wanajenga majumba, wengine wanaweza kuchannel zile pesa toka kwenye accounts tofautitofauti na za watu wengine alimradi tu wafiche justification ya zile pesa zionekane kama walizipata kihalali kumbe ni pesa chafu.

mfano: bwanake kajala alipata fedha zile kwa njia ya wizi alikuwa mfanyakazi wa NBC bank, waliiba pesa za walipakodi wa tz (zilikuwa TRA) kwa kushirikiana na wafanyakazi wengine wa TRA kina katiti ambao hadi sasaivi wanashikiliwa na uyo bwanake kajala, vitengo mbalimbali vilishirikiana, ni zile kesi za epa, ni story ndefu siwezi kueleza kila kitu hapa,....zile hela ni mojawapo ya hela ambazo walinunua/walijenga nyumba wakawa wanaishi na kajala, ....dili lilipovumbuka wakaiuza ile nyumba wakati (noto so much sure...)pccb walikuwa wameizuia. ndio kosa hilo......kama nikija kwenye suala letu, walitakatisha fedha chafu ya wizi wa pesa za epa kwenye majumba na magari...na kajala alishiriki kwa kupitia mume wake. si unajua hata kama mtu anafanya kosa wewe ukishirikiana naye na wewe unatiwa ndani?...thats what happened. kwa kifupi ni kwamba, kutakatisha fedha ni kusafisha fedha haramu ili ionekana kuwa ni halali/safi kwa kuficha chanzo chake etc...upo hapo? try to google " Anti Money Laundering Act of Tanzania 2006"..
 
You are a fool for this one bruh!

Where Mwali at?
Hey, nani kaweka tena picha ya SKY humu JF?
EMT
, once sold he is no nonger yours, utalipa!
BTT: Ie kwa kujitangaza au kwa siri siri
lazima tumpongeze Wema kwa alio fanya!
Big up Sister, endelea na moyo huo huo
 
  • Thanks
Reactions: EMT
yeah thats ma BOSS lady Wema Sepetu,,,,,,,,,,,,,,,,,,saidia mama saidia sura nzuri roho nzuri pia......, Kina penny mkafie huko mlikoenda kujitengesha.Wema ndo Habari Ya Mujini,mwacheni dada yetu miaka 800

Are a male or a female just curious to know.
I am not trying to offend you just I wanna know if you wont mind telling me
 
Hey, nani kaweka tena picha ya SKY humu JF?
EMT
, once sold he is no nonger yours, utalipa!
BTT: Ie kwa kujitangaza au kwa siri siri
lazima tumpongeze Wema kwa alio fanya!
Big up Sister, endelea na moyo huo huo
Kongosho anadai eti ana mbwa wawili na paka wawili na bajeti yao ni laki moja kwa mwezi.

Wakati bajeti ya mbwa wawili wa Wema ni milioni sita na shopping yao inafanyiwa China.

I found that so unfair. Ndo maana niligoma kumwuzia huyo mbwa.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kweli ule mjengo wa milioni 400 ni wa kwake na bado anaishi hapo?

Bado anaishi mle mle. Kuna movie yake mpya ameigizia kwenye kale kamjengo kake ninafikiri itatoka muda sio mrefu, kuna gari mpya pia aliagiza na ilishafika kwa ajili ya movie yake hyo mpya. Nakaribisha swali lingine kama lipo.
 
Kongosho anadai eti ana mbwa wawili na paka wawili na bajeti yao ni laki moja kwa mwezi.

Wakati bajeti ya mbwa wawili wa Wema ni milioni sita na shopping yao inafanyiwa China.

I found that so unfair. Ndo maana niligoma kumwuzia huyo mbwa.

Mi hata sijui wangu ana budget gani maana msosi kika mtu anajitegemea mtaani. Lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom