Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa kweli hata sijui zake zilitokana na nini.Thanks Mkuu Masuke! Sasa huyu jamaa mume wa kajala hela yake ya madawa ya kulevya au mpigaji?
shkamo' mfungisha ndoa wetu!!
roho ya kwa nini hapo imetoka wapi?
Wewe unavyomjua wema unadhani kila mtu anamjua?
Anyway umeuliza kujishowoff kwa lipi? Kwani ukimsaidia mtu mpaka tanzania nzima wajue?
View attachment 88082
Hawa hapa!!!!!!!!!!!!!
Dah! Mkuu hata mi nimepigwa na butwaa. Hizi ela wanazipataje?.............Usiseme Watu hawana hela ... sema wewe huna hela....
Natumai hawatakuja kufarakana na kuanza kudaiana na kuishia kuchambana kwenye vyombo vya habari.
Manake milioni 13 kibongo bongo si ndogo. Sasa mtu kutoa tu hivi hivi bila makubaliano au masharti yoyote?
Why do I find that hard to believe?....
Does Wema have that kinda money where she can just cut a check for 13 amilli to bail out one of her 'friends'?
Naamini Kajala atamlipa Wema hiyo hela labda tena kwa riba.
Alichooneshaa Wema ni uungwana wa kumwamini Kajala kuwa atalipa hata kama hawajaandikishana.
But atalipwa, ukute Wema mwenyewe kakopa mahali.
Natumai hawatakuja kufarakana na kuanza kudaiana na kuishia kuchambana kwenye vyombo vya habari.
Manake milioni 13 kibongo bongo si ndogo. Sasa mtu kutoa tu hivi hivi bila makubaliano au masharti yoyote?
Why do I find that hard to believe?....
Does Wema have that kinda money where she can just cut a check for 13 amilli to bail out one of her 'friends'?
Mrembo Wema Sepetu leo amemake headline baada ya kutoa mfukoni mwake shilingi milioni 13 kulipa faini aliyopigwa muigizaji mwenzie Kajala Masanja aliyehukumiwa leo kwenda jela miaka see more
Na Imelda Mtema