Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Vipi mumewe hana mtu wa kumlipia hizo milioni 200 nae aepuke kwenda jela miaka mitano?
 
Wakuu mi nipo nyuma kidogo(ushamba) naomba mniweke sawa hapa kutakatisha hela haramu what does it mean? Yaani jamaa kafanyaje?
Ni mchakato wa kuhalalisha hela haramu, yaani hela ambayo hukuipata katika njia halali sasa unataka uihalalishe. Mfano, hela za kuiba unajenga nyumba na kuipangisha au hela za madawa ya kulevya unaziingiza kwenye biashara nyingine halali kama ya kuuza magari.
 
Sundi Fimbo ndio Jembe la Kisutu kwa sasa nini?maana naona kesi nyingi anazimaliza yeye...juzi amewaliza wale masalia ya Sheikh Ponda leo amemaliana na Kajala!anajitahidi sana mrembo wa zamani wa Miss Tanzania!
 
daaah mil 200 kuzipata fasta tuacheni utani ni ishu ..........wema kweli ana wema daaaaaaaaaah
 
Mungu akubariki sana wema sepetu najua mungu atakurudishia kwa wema ulioufanya,ni wachache sana wenye moyo kama wa kwako

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ingekuwa vizuri kama Wema angetoa ufafanuzi wa hizo pesa zake zimetoka kwenye source ipi kati hizi zifuatazo(ili kuepusha hisia za kutakatisha pesa chafu)
1/Filamu zake za Bongo movie.

2/Mchuno wake alioufanya kwa Daimond.

3/Biashara yake ya kuuza Uroda kama njugu.
 
mi luv wema mbayaaaaa! wenye roho fupi ka uyoga, wawahi ocean road wakadeki bahari!!
 
Ingekuwa vizuri kama Wema angetoa ufafanuzi wa hizo pesa zake zimetoka kwenye source ipi kati hizi zifuatazo(ili kuepusha hisia za kutakatisha pesa chafu)
1/Filamu zake za Bongo movie.
2/Mchuno wake alioufanya kwa Daimond.
3/Biashara yake ya kuuza Uroda kama njugu.
wema sepetu kila mwezi anachukua mil 2 kwa kuwa mwakilishi wa redds, bado fungu la kuwa miss tz.. Mil 13 frm wema its fne
 
Ingekuwa vizuri kama Wema angetoa ufafanuzi wa hizo pesa zake zimetoka kwenye source ipi kati hizi zifuatazo(ili kuepusha hisia za kutakatisha pesa chafu)
1/Filamu zake za Bongo movie.

2/Mchuno wake alioufanya kwa Daimond.

3/Biashara yake ya kuuza Uroda kama njugu.
akufafanunul;ie we kama nani?? we mwenyewe hujui ile waxy ya mkeo imetoka wapi, unachunguza vyanzo vya wenzio!! mumuwacheeeeeee wema apumuweee....!

 
Ni mchakato wa kuhalalisha hela haramu, yaani hela ambayo hukuipata katika njia halali sasa unataka uihalalishe. Mfano, hela za kuiba unajenga nyumba na kuipangisha au hela za madawa ya kulevya unaziingiza kwenye biashara nyingine halali kama ya kuuza magari.

Thanks Mkuu Masuke! Sasa huyu jamaa mume wa kajala hela yake ya madawa ya kulevya au mpigaji?
 
roho ya kwa nini hapo imetoka wapi?

Wewe unavyomjua wema unadhani kila mtu anamjua?

Anyway umeuliza kujishowoff kwa lipi? Kwani ukimsaidia mtu mpaka tanzania nzima wajue?

Huyu Mozila naona katanguliza mahaba zaidi..
 
Last edited by a moderator:
mmhuuu!!!! ndo nini hapo? kama kuna kitu tofauti kinazungumziwa hapo
mkuu ntamaholo, sio kitu kuzungumzwa bali binafsi naangalia jinsi ilivyo ngumu siku hizi kupata pesa. Unakuta watu kibao benki wanatafuta mikopo ya 2m miezi kwa hiyo kwa mtu kupata 13m ya haraka haraka na ukichukulia huyu ni mjasiriamali aliyefungua ofisi juzi tu. Ni habari njema kuwa ile sera ya 'kutengeneza mabilionaire' inaweza
kwa kiasi fulani ikawa imefanikiwa.
Kafanya kitu kizuri kwa mwenzao/mwenzetu na hasa ukichukulia watu wengi wana billions ziko benki tu na watu wao wa karibu wanafungwa kila siku kwa kukosa faini za hata laki mbili
.
 
Back
Top Bottom