Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

Serious alichofanya Wema ni kikubwa tena sana.

Wakati watu wote hawapo, wema kajitokeza, a true friend.

Nadhani huu ni mzigo kwa Kajala sana, maana kuna kitu mtu anakufanyia inabidi uwe unatabasamu hata anapokuudhi.

Nadhani kuna saa hatumwelewi Wema sababu ya mapungufu yake, lakini anaonekana ni rafiki wa kweli kwa marafiki zake.

Hata Jokate nadhani ndio alianza bifu na Wema baada ya kumwibia Dayamond wake.

Wakijakuwa na bifu huko baadae watakuja kudisiana hivi:

...Kama siyo mimi kukutoa selo wala usingekuwa na unatembea na boyfriend wangu!

...Mie ndo nilikuleta kitaa huku lakini sikufanya hivyo, ili uje eti utembee na boyfriend wangu!

... Nyambaf mkubwa wewe, tena umkome kabisa na boyfriend wangu vinginevyo nitakurudisha huko huko selo!

....Kwanza nipe pesa yangu!...Nasema nipe pesa yangu!!! ... Unaniskia?

....Nipe pesa yangu malaya mkubwa wee!! (huku wanavutana nywele). lol

But I hope they will be best friends ever.

Whether or not Kajala atamrudishia hizo pesa, kitendo alichofanya Wema ni cha kuiga.

A friend should always be friend even where s/he has messed up really bad.

Rafiki wa ukweli utamjua wakati ukiwa na shida kama aliyokuwa nayo Kajala pale mahakamani baada ya hukumu kusomwa.

Wengine utawaona wakati wa raha tuu au wao wakiwa na shida.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Juzi amefanya shopping yenye thamani ya ML.6 za kibongo kwa ajili ya mbwa wake tu, wema anaonekana mwenye hela ya kutosha sana kumfanya abadili nguo, ale, na abadilishe mboga na kuheshimika kibongo bongo. Ninatafakari sana urahisi wa kufanya haya kirahisi rahisi tu?? mie pia nimekuwa nikisapoti wema sana ila kuna mambo ukiwa critical na sio fwata upepo ni lazima utabaki na maswali mengi .

Mweeee! There she goes my girl Wema. Wenye bifu nae sasa kimyaa kama maji ya mtungu vile.

Halafu Nyani Ngabu anasema eti milioni 13 kibongo bongo si ndogo wakati nusu yake ni shopping ya mbwa tuu?

Peza za Wema hazitokani na kubeba maboksi ati. lol

Mbwa wake amewabatiza majina gani?
 
Kama anajitangaza hajasaidia , kanunua ad space tu.

Tunaosaidia na kujua maana ya kusaidia hata huwezi kutusikia tunajitangaza kwa majina.
 
Mweeee! There she goes my girl Wema. Wenye bifu nae sasa kimyaa kama maji ya mtungu vile.

Halafu Nyani Ngabu anasema eti milioni 13 kibongo bongo si ndogo wakati nusu yake ni shopping ya mbwa tuu?

Peza za Wema hazitokani na kubeba maboksi ati. lol

Mbwa wake amewabatiza majina gani?

Wema anakimbiza sana,Sintah alikuwa anamchukia live ila mwenyewe amemkubali. Kwanza Wema ana moyo usio wa korosho, muwazi, hanaga mabifu ya kipumbavu. Yani roho yake laini kama sauti yake.

Mbwa amewapa majina ya kizungu bwana siyakumbuki vizuri. Mbwa wa Uwoya ndio alikuwa anaitwa Dalas, na walikubaliana mbwa wa Wema aolewe na mbwa wa Uwoya anayeitwa Dalas. Chezeya wewe. Binadamu sie tuna mambo na vijambo.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hahahaha shopping ya mbwa vifaa vimeagizwa China. Thamani yake ni mitaji ya biashara za watu mjini jaman. Hii ya wema ni a.k.a iga ufe EMT
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Hahahaha shopping ya mbwa vifaa vimeagizwa China. Thamani yake ni mitaji ya biashara za watu mjini jaman. Hii ya wema ni a.k.a iga ufe EMT

Ajaribu kucheki na Nyani Ngabu ili awe anamfanyia shopping ya mbwa wake moja kwa moja kutoka States.

Si unajua tena bidhaa za Kichina sometimes ni za kuchakachuliwa?

Apate kitu original kutoka States kwa afya ya mbwa wake bana.

Pesa si ipo?
 
Kajara katoka? Huyu demu namkubali sana kwa kuwaàmemaliza matatizo ngoja nianze kumyatia...
 
Ajaribu kucheki na Nyani Ngabu ili awe anamfanyia shopping ya mbwa wake moja kwa moja kutoka States.

Si unajua tena bidhaa za Kichina sometimes ni za kuchakachuliwa?

Apate kitu original kutoka States kwa afya ya mbwa wake bana.

Pesa si ipo?

Huyo furry child inabidi aletwe States moja kwa moja kwa ajili ya shopping la nguvu pamoja na routine/annual physical la nguvu pale Dunwoody Veterinary Center.

Si unajua kuna hadi dental care ya mbwa na paka....cheki HealthyPet.com
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wema anakimbiza sana,Sintah alikuwa anamchukia live ila mwenyewe amemkubali. Kwanza Wema ana moyo usio wa korosho, muwazi, hanaga mabifu ya kipumbavu. Yani roho yake laini kama sauti yake.

Hivi kweli ule mjengo wa milioni 400 ni wa kwake na bado anaishi hapo?
 
Kajara katoka? Huyu demu namkubali sana kwa kuwaàmemaliza matatizo ngoja nianze kumyatia...

Shopping ya mbwa wake wawili ni kama milioni 6 hivi na huwa inafanywa China?

Kwa hiyo kabla ya kuanza kunyatia uwe na kitita cha kutosha maana kuna mbwa wake mmoja anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na itahitajika bonge la shopping.

Usije ukatuaibisha bana.
 
Natumai hawatakuja kufarakana na kuanza kudaiana na kuishia kuchambana kwenye vyombo vya habari.

Manake milioni 13 kibongo bongo si ndogo. Sasa mtu kutoa tu hivi hivi bila makubaliano au masharti yoyote?

Why do I find that hard to believe?....

Does Wema have that kinda money where she can just cut a check for 13 amilli to bail out one of her 'friends'?

Kwabiashara ipi iliyowazi.
 
Nyani Ngabu na EMT mmeniumiza sana nafsini

Nna mbwa wawili na paka wanne, sina hakika kama bajeti yao inazidi laki kwa mwezi, nayo ni basic needs kama chakula na chanjo.
 
Last edited by a moderator:
Millioni 13! Nyingi sana......
Hivi anafanya nini huyu Wema....hadi aingize mkwanja mrefu kirahisi hivi...
 
Na amefanikiwa sana

Ame-make headlines mno leo.
Kuliko hata angejitangaza kwenye TV's

Kama anajitangaza hajasaidia , kanunua ad space tu.

Tunaosaidia na kujua maana ya kusaidia hata huwezi kutusikia tunajitangaza kwa majina.
 
Kama anajitangaza hajasaidia , kanunua ad space tu.

Tunaosaidia na kujua maana ya kusaidia hata huwezi kutusikia tunajitangaza kwa majina.

Mtani, charity goes with publicity, as a promotional tools for her proffessional carrier.
 
Nyani Ngabu na EMT mmeniumiza sana nafsini

Nna mbwa wawili na paka wanne, sina hakika kama bajeti yao inazidi laki kwa mwezi, nayo ni basic needs kama chakula na chanjo.

Hapo kuna umuhimu wa kuwajulisha animal rights group waje kuwachukua hao mbwa na paka.

Nikilinganisha na mbwa wa Wema, hao mbwa wako huwatendei haki kabisa.

Eti laki moja kwa mwezi? This is so unfair na inabidi upigwe ban ya kumiliki mnyama yoyote.

Ndo maana twiga na tembo wetu wako katika hali mbaya kwa sababu ya watu kama nyie.

Ndo maana niligoma kukuuzia huyu mnyama. Hufai Kabisaaaaa.

Huyu mbwa bora kucheki na Wema nae akafanyiwe shopping China.

penis-dog.jpg
 
Back
Top Bottom