sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Teh teh naona mnavyojikanyaga. Kujitetea.Ile show ilikuwa ni kwa ajili kuwashukuru mashabiki ilikuwa ifanyike buree sema watu wangekuwa wengi hiyo 10000 na 15000 kiingilio ni baada ya clouds kuingilia kati na kuchukua 20% kupeleka kwa watoto yatima na wasiojiweza
Vp lakini mkuu swalama??
Mkuu swalama. Heri ya sikukuu boss