Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Husika na kichwa cha habari hapo juu Jamani mdogowetu amefunguka kuwa anatafuta mwanaume wa kumuoa
Vijana mpooo sio mnasema hamna wanawake hamna wanawake, ee Wema ana hela zake, ana maisha yake ana biashara zake kwani tsh ngapi?
Oeni tu!
Vijana mpooo sio mnasema hamna wanawake hamna wanawake, ee Wema ana hela zake, ana maisha yake ana biashara zake kwani tsh ngapi?
Oeni tu!