Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
hahahaha polemb kiduchu ndio tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha polemb kiduchu ndio tatizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si umesema hujaolewa nakuja kujaribu bahati yanguhahahahhaahah, mbio za wapi hizo?
hahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaAnataka ndoa ya namna gani?
Ya back to back....
ama back to front...
hahahahahahha nimecheka mbayaaWale wenzangu wa kushabikia mpira hii tunaiitaga magharibi ya roho!
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si umesema hujaolewa nakuja kujaribu bahati yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] eti sealed😀😀😀😀😀😀😀
Ila naogopa usiku wa "harusi" maana bado niko sealed
njoo inbox nikupe link ya youtube channel yangu na instagram yangu
haleluyahNiambie jirani, njoo hapa Rock City Mall tunywe pombe kama hujaokoka.
Tatizo wema hana akili ya maisha mbona zari ni mzuri na ni mama. Mwanamke ukikosa vision kwenye maisha lazima uumie, kuna waliotumia uzuri wao umewafanikisha.Mi nasema uzuri au sexy body ni kama laana.
Kila mtu atataka akuonje asonge mbele hakuna atakayeona zaidi ya uzuri au sexy body.
MARIOOMuoe Wema basi!!!
NDIO UNAVYOJIDANGANYA AU?Mwanaume hana bikra
hahahahaKwanza unamtangaza wema kwenu labda umasaini ndo hawamjui la sivyo wazazi hawaji kwenye ndoa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu shemMsg yako imekaa kama tangazo la kibiashara vile. Wacha nkufuate chemba tuyajenge vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
JAMII FORUM - WENGI MPAKA NILIPOTANGAZA MIMI MKE WA MTU MAMA WATOTO 3 LAKINI BADO WANAKUJA WHATSAPP NA TUSHAKUWA MARAFIKIJamani kumbe!![emoji28]
Kuna watu wangapi walikufuata/ wanakufuata?
Hujawahi kuvutiwa (siyo lazima kuufanyia kazi mvuto) na wanaume zaidi ya mmoja?
Wanawake wengi sexy bodied wanakumbwa na hii.
Mcheki J Lo.
Shilole.
Aunty Ezekiel.
Wolper.
Uwoya
Che!Wengi tunaoa mtumba lakini sasa hii grade ya Wema Sepetu ni mtumba ule uliokatazwa hapa nchini.
Natamani nioe kitu special from Dubai. Mtoto mbichii bikra.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Queen Bee Zari na Vera SidikaTatizo wema hana akili ya maisha mbona zari ni mzuri na ni mama. Mwanamke ukikosa vision kwenye maisha lazima uumie, kuna waliotumia uzuri wao umewafanikisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee😀😀😀😀😀😀😀
Ila naogopa usiku wa "harusi" maana bado niko sealed