Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mb kiduchu ndio tatizomsikilize hapo ameongea
Wale wenzangu wa kushabikia mpira hii tunaiitaga magharibi ya roho!HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU
JAMANI MDOGOETU AMEFUNGUKA KUW AANATAFUTA MWANAUME WA KUMUOA
VIJANA MPOOO
SIO MNASEMA HAMNA WANAWAKE HAMNA WANAWAKE, EE
WEMA ANA HELA ZAKE, ANA MAISHA YAKE ANA BIASHARA ZAKE KWANI TSH NGAPI?
OENI TU!
Jirani!Hivi ndoa ina raha yakeee!!!!
Ngoja na mie niwe mkubwa niolewe. Castr upo!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi ndoa ina raha yakeee!!!!
Ngoja na mie niwe mkubwa niolewe. Castr upo!!!
Picha tafadhalimbona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!
we acha kutudanganya bwana!
Niambie jirani, njoo hapa Rock City Mall tunywe pombe kama hujaokoka.
Muoe Wema basi!!!Nipo, nataka nikifikisha miaka 28 nioe.
Tujipange basi
Mwanaume hana bikrasasa unalalamika Wema amekuwa Used wewe je ni Bikra?
hahahahhaahah, mbio za wapi hizo?
Msg yako imekaa kama tangazo la kibiashara vile. Wacha nkufuate chemba tuyajenge vyemambona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!
we acha kutudanganya bwana!
Jamani kumbe!![emoji28]mbona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!
we acha kutudanganya bwana!
Ningejisogeza jirani ila sipo mwanza.Niambie jirani, njoo hapa Rock City Mall tunywe pombe kama hujaokoka.
Labda vyote... Haufahamu kama mwanamke ni ua na uwepo wake ndani unapendezesha nyumba pia na kuifanya iwe vizuriSasa huyo atakeyemuoa anaoa kama ua au kama mke? Mbona Wema @sh@t0mbw@ sana jamani! Please give her a break.
Tupo wengi tu hapa tunakunywa, hawezi, haya ni maonesho ya E.A. hawezi kutugusaNingejisogeza jirani ila sipo mwanza.
Mapema hii uko city mall wakati jiwe yuko hapo, angalia asije akakutoa tonge mdomoni jirani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh ngoja moyo upigwe ganzi nitamtafutaMuoe Wema basi!!!
Hongera sana kwa Maamuzi MazuriNipo, nataka nikifikisha miaka 28 nioe.
Tujipange basi