Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Kaoe hukoooooo, hahahahahahah. Leta lile toto la Kinyaturu huku MwanzaAende kwa Harmorapa naye katangaza juzi kati anatafuta mke.
Ina maana wa Kisarawe kamzidi karata, au hafai huyu kuwa nyumba ndogo ya naniliu, si wote waliwahi kutwaa mataji ya umisi??
He he he heKaoe hukoooooo, hahahahahahah. Leta lile toto la Kinyaturu huku Mwanza
ivoooooooooooooooo eee?Aende kwa Harmorapa naye katangaza juzi kati anatafuta mke.
Ina maana wa Kisarawe kamzidi karata, au hafai huyu kuwa nyumba ndogo ya naniliu, si wote waliwahi kutwaa mataji ya umisi??
mbona mimi nina sexy body kama ya Wema alafu Mzuri kama wema na sina laana?!Mi nasema uzuri au sexy body ni kama laana.
Kila mtu atataka akuonje asonge mbele hakuna atakayeona zaidi ya uzuri au sexy body.
sio kweli jamaa
Kasema sio waifu matirio..........ivoooooooooooooooo eee?
hamo rapa si ana demu wake cheupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kweli
yelwuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiKasema sio waifu matirio..........
msikilize hapo ameongeaAnafute mume au anatafute mwenye hela?
Kwani una umri gani watu tuanze kujisogeza karibu!Hivi ndoa ina raha yakeee!!!!
Ngoja na mie niwe mkubwa niolewe. Castr upo!!!
sasa unalalamika Wema amekuwa Used wewe je ni Bikra?Sasa huyo atakeyemuoa anaoa kama ua au kama mke? Mbona Wema @sh@t0mbw@ sana jamani! Please give her a break.