Wema Sepetu, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu

Wema Sepetu, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu

Nilikuwa masikini sana nikakosa hata nafasi ya kuendelea na masomo,hii ilitokana na umasikini wa wazazi wangu pia.

Baada ya miaka kadhaa nilijiingiza kwenye kilimo cha viazi pale njombe,Hakika Mungu huwa hamtupi mjawake nilipata mafanikio makubwa sana,maisha yangu yalibadirika sana.
Baada ya mwaka mmoja niliamua kujiingiza kwenye biashara ya mbao,sasa hapa ndipo shida ilipoanzia.


Nilipo fanikiwa zaidi niliambiwa natumia uchawi.Nilipokuwa sina kitu nilichekwa sana,nilipoendelea kufanikiwa zaidi na zaidi wakasema Mimi Freemasons ila sasa maneno yanayowatoka nikuwa ni muuzaji wa dawa za kulevya.

Kumbuka nimeanza kilimo 1997_2003 baada ya hapo nikajiingiza kwenye biashara ya mbao.

Swali langu kwenu Watanzania kipi mwanadam akifanye ili muone mafanikio anayoyapata ni ya halali?

Hakika watanzania wana hila mbaya na asilimia kubwa kuiona pepo itakuwa ni ngumu.

Jamani tufanye kazi kwa bidii,tuache mijadala isiyokuwa na tija mitandaoni.Kila siku kujadiri watu na Mali zao huu ni upunguani kwa kutupwa.

Asanteni sana
Sasa sisi tutajuaje kama wewe sio mchawi kweli au muuza unga? mfyuuu ebu tupishe shetani wewe

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Huu mfano unapaswa kutumika na kwa Lema
Lema akitoka lazima Ajutie makosa yake
naimani alipo ni mdogo zaidi ya Pilitoni
hahaha!!!
Kila bosi na bosiwake
Wewe ata ukienda kunya unawaza siasa.
 
Akakae jela miaka 15 tu, akitoka huko mat.ako yote yameisha na hatawashwa tena, sbb anawashwa sana na tigo huyo Wema chizi sana
 
Sometimes nikimuangalia she is the exact definition of a candle that burneth beneath the table.

She is a beauty no doubt.

What went wrong after 2006 when she was crowned Miss Tz? Did all the glory and city lights sedate her to an extent she became a zombie and never did anything sensible out of her own free will after that?
Karucee....haiwezekani wewe ulikuwa spaner boy[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Kimono so mchezo
 
Kuna jina PM alilitaja juzi "Director Joan" kama una mfollow WS IG, alikuwa anapost picha sana yupo na huyo Director Joan. Labda hawa ndio aina ya marafiki ambayo mtoa uzi anasema.

39d2fd0635802e1844c013205d188345.jpg
Hao ndio kina nani? Interesting
 
Makonda namsifu kwa hili. ...hakuna jamii inayoendelea kwa biashara ya kuuza unga. ...hakuna Taifa linalostawi kwa kusimama kwenye misingi ya uongo
 
Unapasua lugha ya malkia kuliko malkia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Unajaribu kumuelimisha Madame anayelazimisha jina lake lisipotee masikioni mwetu
wala. am thinking out loud.

kumuelimisha wema inahitaji divine intervention.
 
Back
Top Bottom