Wema sepetu atamani afe kisa mitandao ya kijamii

Wema sepetu atamani afe kisa mitandao ya kijamii

Ha ha haaaaaaaaa
Naona kashauriwa njia hii ajaribu tena..

Kashindwa mwenyewe kuitumia vizuri mitandao kujiongeza.. hapo angetaka kutoka angefanya kinya kimya.. yale yale yake kutafuta huruma.. ooh jamani mama cha huruma..
 
Tumeshamzoea hana jipya,bila kiki mjini ni sawa na mgonjwa anayeishiwa pumzi.
 
Mwenzako marehemu Amina chifupa alizishika headline za bongo tangu anasoma, mbaka anakufa na bado aliendelea kuzishika miaka kadhaa baada ya kifo chake. Kwa muda ambao nimeshuhudia akiandikwa magazetini nawezasema mbaka sasa hakuna aliye mzidi kwa kuandikwa hata ao wanasisa waliopo sasa hakuna aliye mfikia.
 
Ujinga ufanyeje mwenyewe alafu uonewe huruma, yaani huyu na mama yake kama pipa na mfunuko, unaenda Rwanda kwenda kufanya mambo ya anasa huku kesi yako inasikilizwa, alafu mipicha kibao unaiposti instagram, mama yako anaulizwa mahakamani anasema umefiwa na shangazi yako, si upuuzi huu alafu unalaumu social networks.
 
Hawa wasanii sijui lini akili zao zitakuwa sawa, kama sio wao kujirusha kwenye kila matukio mpaka ya kukulana nani angekuwa na muda nao!????

Kiufupi aache kurusha hovyo habari zake
 
Hawa wasanii sijui lini akili zao zitakuwa sawa, kama sio wao kujirusha kwenye kila matukio mpaka ya kukulana nani angekuwa na muda nao!????

Kiufupi aache kurusha hovyo habari zake
Wanatafuta wenyew kiki alafu wanalalamika
 
Ila huyu dada ana damu mbaya ya kusemwa hata afanye nini atadhihakiwa tu
 
948bb27d782f1aab8274c9ca9f20befb.jpg
88a24ec964c4c46c61c23743dc81c6ad.jpg
akimbilie ccm ndio mkombozi wa makarai
 
Shoga yake Mange ameanza kumnanga asubiri siku atakaporudi CCM ndipo makombora toka Korea Kaskazini yatakavyoanza kumiminika.
 
Saa auze smartphone awe anatumia feature phone, asiwe anaona kinachoendelea huku
 
Back
Top Bottom