Wema Sepetu auchukia uongozi wa awamu ya tano.

Wema Sepetu auchukia uongozi wa awamu ya tano.

Anaacha kuuchukia uzee anaourudisha miaka kila siku achukie Serikali.
 
Hayatuhusu ye ndio alikuwa kimbelembele na slogan yake ya mama ongea na mwanao kiufupi tu akaongee na mama yake yanayomkuta aliichagua mwenyewe apambane na hali yake
 
24c0fd6186f0ef3bd9b8ca3d8cd5d151.jpg

eb81d1be5847cf1b094269fbfd313e95.jpg
Bado hajatua KIA ruzuku ya CDM sasa hivi ina gombaniwa haiwezi kumtosha wema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why should we believe wema, she is not at all a trustable person, the way she lives and tries to make money is immoral and an immoral person can never be trusted.

Show us the pictures of your brother if he was trully your brother when he was is hospital near death and the injuries.

Otherwise you are trying to gain sympathy with lies

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachoshabikia sikioni,kumbuka haya mambo ni kupokezana tu nani alijua kama Adam Malima atadindishiwa na yule kijana polisi kiasi cha kufyatuliwa risasi?! Hivyo si vyema kuweka ushabiki Mbele kama kweli kijana alikosea kwa kukiuka taratibu za kimahakama basi polisi wao sio mahakimu mpaka wamuhukumu kwa kichapo wangemfungulia mashtaka,Leo kwako kesho ni kwetu Mimi na wewe kumbuka hatujakamilika kiasi cha sisi na ndugu ZETU kuto kufanya makosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekupa likes nyingi sana sema system hairuhusu

Umetoa elimu kuuubwa ila ujue kabisa kuna watu wanaitwa vilaza. Kama huwajui let me know
 
Huyu socialite aawachie siasa wenyewe, aendelee na mapenzi na ngada zake...
 
Wakati mnazunguka nchi nzima kupiga debe kisa mnalipwa hukuyajua haya?
Mlichosaidia kukipanda ndicho tunachovuna kwa panoja Wema tulia unyolewe tulia tuvune sote ulichosaidia kupanda
 
Back
Top Bottom