Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
hajakatazwa kufanya yake na kwanza maneno ya watu si sheria ila tunachokisema hadhi ya hilo tangazo imeshushwa na muonekano mbaya wa wema. HAJAPENDEZA!
Haters gonna hate...ila ndo hivyo alishatangaza na hela zake anapata whether apendeze au lah