Wema Sepetu: Harmorapa unikome

Wema Sepetu: Harmorapa unikome

Wema anazuga tu, harmorapa akiwa nazo za kutosha mbona atamuita Bae.....
 
Wema ndùgu yangu hivi ni nani aliekushauŕi wewe kumjibu huyu mshamba wa kwetu ulichotakiwa ni kukaa kimya kana kwamba hamna kilichotokea hilo tendo lako la kimjibu tu yeye teyari kashatimiza lengo lake la kupata kiki na kutajwa ndio lengo lake ngoja nikulize wema HIVI NI NANI ATAMNG'ATA MBWA ENDAPO MBWA ATAMNG'ATA YEYE
 
HArmorapa jana alienda nyumbani kwa Kitila Mkumbo kumpa pongezi ya kuteuliwa!

Harmorapa kwa sasa anasikika kuliko hata Harmonize
Harmorapa kwa kutembea na matukio hajambo, sitashangaa nkiskia leo kaenda nyumbani kwa Roma kumpa pole mke wake. Na kama kiki zake zingekua zishaanza kipindi cha sakata la faru john nna uhakika harmorapa angefika mpaka mbugani kuwapa pole faru wengine kwa kumpoteza john
 
Madame ndo kwanza kaanzisha mahusiano mapya na yule mmiliki wa chama atamkubali vipi huyo Harmorapper? Dogo asubiri subiri kidogo..!!
 
BAHATI yake tu MBAYA!!!

Wema hii si ndo profeshno yake ,KUIBUA VIPAJI!!
eti warumi
 
Back
Top Bottom