Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini mnamchukia mtu ambae anatajitaftia riziki yake kihalali,mlitaka aje kula Kwenu..sio fair badiliken dogo ameamua kujitaftia riziki kwa njia hiyo..kwanini mumchukieHunishindi mimi mkuu
Yani sikapendi haka katoto sijui nakaonaje yani.
Hhahaha,dah nipo knockwenye msiba,baada ya kuona hii coment bimecheka sana aisee,dahSi ampe tu?mbona mondi alipewa.tena kipindi ambacho domo lake lilikuwa kubwa kama bangala.mi sioni tatizo.yaani kwagawia mastaa wote afu anataka kumbania rapperbolt?this is not fair sepenga.we mpe tu aenjoy huo msambwanda.
Hata nasibu alivyoanza walikuwa hawampendi, sa hivi ndio wanaompigia vigelegele, mkuu usishangae, baadhi ya watanzania ni viumbe wa ajabu sana!kwanini mnamchukia mtu ambae anatajitaftia riziki yake kihalali,mlitaka aje kula Kwenu..sio fair badiliken dogo ameamua kujitaftia riziki kwa njia hiyo..kwanini mumchukie
kwa ubishoo huo utampendaje Harmorapa...lazima umchukie..kiboko yenu anawachapa tuHunishindi mimi mkuu
Yani sikapendi haka katoto sijui nakaonaje yani.
kabisa yaani unamuita binadamu mwenzio majina ya wanyama..mhhh kama sio wivu ninikwanini mnamchukia mtu ambae anatajitaftia riziki yake kihalali,mlitaka aje kula Kwenu..sio fair badiliken dogo ameamua kujitaftia riziki kwa njia hiyo..kwanini mumchukie
Nshomile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante madame!siyo kila mtu anadhani anakumudu!mfyuuuu!