Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna watu mnafikiri hamorapa ana mshipa wa aibu fikiri tena !dogo ana kitu xaidi ya ushamba kwenye akili yake 4-1 inamhusu kiaina muziki ndio uneificha haiba yake haswa!Duuuuh dogo kaumbuka
Aaaaaaa! Ngoja nikabebe zegekabisa yeye atafute pesa atawatafuna werembo wote anao watamani
Shangaaa ya dunia mkuu.Kweli ukiwa huna pesa ni shida harmorapa kaonekana mdogo wake kwani daimond hakuwa mdogo wake
Watz ni natural disaster characterHata nasibu alivyoanza walikuwa hawampendi, sa hivi ndio wanaompigia vigelegele, mkuu usishangae, baadhi ya watanzania ni viumbe wa ajabu sana!
Kakua wapi,! Bado yuko , "under my shoe shine" ha ha ha ha ha ha chezea tako la mchina wewe!Madame kakua siku hizi buana
beba kijana uje ule vizuriAaaaaaa! Ngoja nikabebe zege
Tatizo Magu nawe kabana sana ....zege lime kuwa shidaaabeba kijana uje ule vizuri
komaa kiainaTatizo Magu nawe kabana sana ....zege lime kuwa shidaaa
Nikomae tenaa....?miss chagga vipikomaa kiaina
pouwa tu mkuu.. unaweza okota dodo kwenye muarubainiNikomae tenaa....?miss chagga vipi
Sure... si unaona maneno aaliyotumia: "...waambie wengine unaodhani mnawezana lakini sio mimi!" Hiyo ni namna ya kiungwana ya kumwambia "...you're not my type!" Kauli ambayo ni embarrassing kwa kiasi fulani....Madame kakua siku hizi buana