Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Hahahaha naona kichefuchefu kimetawala humu ndani. jamani mbona mmetapika hivi ndani kote hamna hata pakukanyaga?? vipi ndimu zimewatosha au niongezee na vinegar?? Maumivu yakizidi wahini hospo mpate Tiba msije faint... Matola gawa vinegar ndimu hazitoshi watu wanazidi kuzirai humu.... Mheshimiwa wema sepetu mtoto Wa marehemu balozi sepetu alikuwa na hoja.....hebu waheshimiwa tumsikilize....halooo na kale kasauti sasa!! Yes politics is politics
Last edited by a moderator: