Sijawahi kuelewa kwanini wanawake wanapiga hizi makeup mtu anakuwa kama andazi lilitolewa kwenye mafutaMrembo kutoka kiwanda Cha bongo movies Wema Sepetu maarufu kama Tanzania sweetheart Leo anatimiza miaka 28 huku akizindua filamu yake mpya iitwayo D.O.D aliyomshirikisha msanii maarufu kutoka Ghana Van vicker pale mlimani city
Filamu hiyo ilighairishwa kuzindua Mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye muda umefikaView attachment 880204
Hamna faida ila sura inaumbua hata ukidanganyaUongo uongo uongo ana miaka 31 sio 28 hivi Kuna faida gan kudanganya umri ili iweje?????
Huenda hata hiyo bado anadanganyaUongo uongo uongo ana miaka 31 sio 28 hivi Kuna faida gan kudanganya umri ili iweje?????
Sawa ndio natoka kuchukua ticketMrembo kutoka kiwanda Cha bongo movies Wema Sepetu maarufu kama Tanzania sweetheart Leo anatimiza miaka 28 huku akizindua filamu yake mpya iitwayo D.O.D aliyomshirikisha msanii maarufu kutoka Ghana Van vicker pale mlimani city
Filamu hiyo ilighairishwa kuzindua Mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye muda umefikaView attachment 880204
Wenzako 30 wanaigopa kama ukoma,ndo mana wanajifarijiMiaka 30...sio 28....
Labda itakuwa kuna kipindi umri wake ulistop kuendeleaMimi nimekua namsikia Wema Wema Wema.
Chakushangaza sasa
Mimi nimetimiza miaka 30 ila yeye bado yupo 28 tu.
Hbd kwake
Hahaaa nimechekaIna maana mimi ni mkubwa kuliko wema 2006 nikiwa fomu one huyu ndo alikuwa miss Tanzania leo ni mdogo kuliko mimi khaaaa
Kha miaka yote anagandia hapo 28....toka miaka minne iliyopita yy ni 28?... mkumbusheni uzee haubishi hodi...au kama anapenda sana miaka michache tumpe 16 kiroho safiMiaka 30...sio 28....
Dah...ajabu sana...miaka yake bado haijapozi...wengi hushia miaka 24..na wanakomea hapo...haiongezeki😎Miaka 30...sio 28....
32 or 33Miaka 30...sio 28....